Jinsi ya kumlinda mumeo

Jinsi ya kumlinda mumeo

..kwaio kwa kwenda ofisini ndo circumstances zmechange au?![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tunguli zangu hizi hapa
Proverbs 31
Praise for a Good Wife
10 Who can find a virtuous woman? for her price is far above rubies.
11 The heart of her husband doth safely trust in her, so that he shall have no need of spoil.
12 She will do him good and not evil all the days of her life.
13 She seeketh wool, and flax, and worketh willingly with her hands.
14 She is like the merchants' ships; she bringeth her food from afar.
15 She riseth also while it is yet night, and giveth meat to her household, and a portion to her maidens.
Ni pale mwanaume alipoona kashindwa wajibu wake na kuamua kumtwisha mwanamke majukumu yake[emoji134] [emoji134]
 
Siku mtakapojua jua kuwa hakuna kishawishi wala sababu za kuchepuka ndipo fikra sahihi zitakuwa zimeeleweka.
Fanya zoezi dogo
Tafuta wanaume kumi wanaochepuka kisha waulize kwa nini wanachepuka?
Tafuta watu wa kada/uwezo/elimu/dini tofauti.
Hakuna atayekwambia anachepuka eti kwa kuwa mkewe ni mchafu au hajui kupika.
Hizo ni vijisababu tu ambavyo havina maana.
Kwa masomo yenu haya yasio na maana mmewafanya wanawake wengi waone kuwa iwapo mumewe anachepuka basi wa kulaumiwa ni yeye. Mnawatesa hawa wanawake hata kufikia hatua ya kuwa watumwa kwenye ndoa ili tu kukidhi haja na tamaa za.mwanaume.
Wengine mpaka wanaingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wao wa ndoa kwa hofu asipompa hilo tundu basi atachepuka.
Sijui ni aina gani vitabu vya kiroho unavyosoma ikiwa una fikra na mtazamo hafifu kiasi hiki.
Kwani inamgharimu nini mwanaume kufua nguo za.mkojo za mtoto wako au kuhakikisha kuwa nyumba yako ni safi?
Wanawake na wanaume wanaochepuka kutoka kwenye mahusiano ya ndoa hawana sababu zaidi ya maamuzi ya makusudi ya kuvunja uaminifu na viapo vya ndoa.
Let's change instead of entertaining kuchepuka.
Natumaini wenye akili watapima kati ya mleta mada na wewe mchangiaji nani mwenye akili, hekima, maharifa na busara.
 
Hata hivyo wanawake ndio chanzo cha wanaume kuchepuka, hasa pale mnapomkubalia mwanaume huku mkijua anamwibia mwanamke mwenzenu huko nyumbani kwake, na wengine mnafikia kuweka mitego ya kiganga na pia kujiuza mabarabarani.

Kwanini nyie wanawake mliofanikiwa msiwainue wanawake wenzenu wanaotegemea kipato chao kutokana na mifuko ya wanaume?!
 
Mbona huwa sioni mafundisho ya aina hii kwa wanaume? Au ndoa ni ya mwanamke peke yake?
Kwanini mwanamke atumie affort kubwa sana kuilinda ndoa as if ni yake peke yake?

Kwanini muwafanye wanawake wajione watumwa kwa ndoa zao? Hivi yule aloambiwa atumie akili, hiyo akili aitumia wapi?

Na hii mentality inaitafuna jamii kwa kiasi kikubwa sana, kiasi kwamba wanaume wanajiona kumuoa mwanamke ni kumfanyia fadhila tu hivyo apaswa kuhakikisha anabaki humo.
Ndoa ni ya wawili, hizo effort lazima ziwe pande zote, lasivyo ni kutwanga maji kwenye kinu tu.
Kiafrika kuna kuoa na kuolewa, ni kizunguni tu ndio kuna kuoana.
Mtoa mada amewalenga wa afrika.
 
wewe utakuwa mzungu 😀 Wabongo wa hivi wapo kweli?

Hata Mimi nimemshangaa huyu anavyopinga hizo hoja ...

Hawa ni walewale wa haki sawa. Anamaanisha wanaume nao wapike, wadeki, wasafishe vyombo na mambo mengine Kama hayo. Mbona hazungumzii yale yasiyowezekana Kama vile kumnyonyesha Mtoto au kubeba mimba na kujifungua kabisa? Dhana ya division of labor ilikuwa nzuri sana ... Sema kutokana na sababu mbalimbali ambazo ni PAMOJA na ugumu wa maisha, mahubiri juu ya haki sawa hasa pale elimu ya kizungu ilipoingia na uhimizaji wa kumuelimisha Mtoto wa like sawa na wa kiume ndipo mambo yalianza kubadilika ... Mdada amesoma hawezi tena kuwa mama wa familia maana nae anataka aajiriwe aingize kipato ... Ile kampeni ya mwanamke akiwezeshwa anaweza nayo ikaleta promotion kubwa mno ... Mwanamke akaanza kupata nguvu ya kifedha ... Baadhi wakaona kuwa maisha yanawezekana bila kumtegemea mwanaume ... Basi dharau, utovu mwingi wa nidhamu kwenye Jamii ukaanza kwani mwanamke kuwa na Hela kulianza kuonekana ni muhimu . Ndipo wengine wakatamani kuwa na Pesa Kama wenye kazi au biashara zao na baadhi ya wanaume wakaanza kutoa hongo Hata kwa wale wenye ndoa zao wakajikuta wanadharau waume zao ... Sitaki kuendelea ...

Lakini chimbuko la yote haya ni kuukanyaga utamaduni wetu na kuiga uleee ... Na twaendelea kuiga mpaka yasiyofaa. Utamaduni haubadilishwi kwa nguvu, na Kama ukifanikiwa kuubadilisha basi hayo mabadiliko yataambatana na madhara makubwa mno. Hayo ndiyo tunayoyaona katika hizi enzi za wanawake wa kibantu kutaka kuishi na waume wao Kama waishivyo wale wa kizungu!

Kina dada badilikeni; bebeni NAFASI zenu Kama wake na si kujibebesha mivichwa isiyo yenu: mwanamke anayekubali uanawake wake hufurahia Matunda ya ndoa yake na huheshimiwa na mumewe na Jamii nzima kwa ujumla. Yule ajifanyaye sawa au zaidi ya mumewe huiangamiza ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe ....
 
Hata hivyo wanawake ndio chanzo cha wanaume kuchepuka, hasa pale mnapomkubalia mwanaume huku mkijua anamwibia mwanamke mwenzenu huko nyumbani kwake, na wengine mnafikia kuweka mitego ya kiganga na pia kujiuza mabarabarani.

Kwanini nyie wanawake mliofanikiwa msiwainue wanawake wenzenu wanaotegemea kipato chao kutokana na mifuko ya wanaume?!
Wewe mwenye commitment na mkeo kwa nini usikitulize nyumbani kwako na mkeo? Wewe huna huruma na mkeo, huo mchepuko utaanzaje kumuonea huruma mkeo? Acheni kujifanya victims ebooooo
 
Usimavyo labda ni kweli mkuu, sidhani kama ni uchafu au kutopikiwa vizuri au kukalipiwa kunawafanya wanaume watoke nje ya mahusiano yao. Wapo wanawake wanafanya hayo yote hata si kwasababu ana mme ndani bali kwa kuwa anaona ni vyema kuishi mazingira safi na kula vitu vilivyopikwa vizuri na kuongea kwa lugha nzuri na watu. Ila binadamu tuna tabia ya kutamani vitu vipya, tunashindwa kukumbuka kua unapooa si kwamba mkeo ndio mzuri pekee, ila umeamua kujinyima na umechagua mfumo huo wa maisha. Hakuna jambo lenye faida pekee, hata ndoa ina challenge zake. Hivyo kuoa sio kuwa tamaa zako za mwili zimekoma daima utatamani wanawake wengine, ila tu tunatakiwa kujinyima na kusimamia tulicho kichagua.
Haya usemayo ni kweli kabisa, lakini palipo utulivu ndoa huwa inadumu hata mwanaume akichepuka nafsi inamsuta na chanzo cha utulivu ni mke mwema.
 
Wewe mwenye commitment na mkeo kwa nini usikitulize nyumbani kwako na mkeo? Wewe huna huruma na mkeo, huo mchepuko utaanzaje kumuonea huruma mkeo? Acheni kujifanya victims ebooooo
Wanawake muweni na huruma wenyewe kwa wenyewe, iweje unayejua hasa maumivu ya mume ukubali kumpokea mwanaume wa mwenzio na kumpa hifadhi?!

Unajua wanawake mkitia ngumu kwa wanaume walio na wake zao hakutakuwa tena na mchepuko??
 
Wanawake muweni na huruma wenyewe kwa wenyewe, iweje unayejua hasa maumivu ya mume ukubali kumpokea mwanaume wa mwenzio na kumpa hifadhi?!

Unajua wanawake mkitia ngumu kwa wanaume walio na wake zao hakutakuwa tena na mchepuko??
Hata nyie mkitia ngumu, mkaheshimu ndoa zenu na viapo vyenu, wanawake wa nje wataingilia mlango gani? Muwe wanaume kweli, muwe responsible na matendo yenu, sio kujifanya watoto wadogo wasiojua walifanyalo
 
Wanawake muweni na huruma wenyewe kwa wenyewe, iweje unayejua hasa maumivu ya mume ukubali kumpokea mwanaume wa mwenzio na kumpa hifadhi?!

Unajua wanawake mkitia ngumu kwa wanaume walio na wake zao hakutakuwa tena na mchepuko??
Huyo mchepuko wako ni mke wa mtu? Maana umesema anajua uchungu wa mume!! Sasa kwani huyo mchepuko wako ndio aliweka ahadi na nadhiri mbele ya Mungu na wanadamu kuwa hatochepuka?? Kwanini kila upuuzi wenu mnataka wanawake ndio wabebe lawama nanyi muwe victims!!!

Wich dau.
 
Siku mtakapojua jua kuwa hakuna kishawishi wala sababu za kuchepuka ndipo fikra sahihi zitakuwa zimeeleweka.
Fanya zoezi dogo
Tafuta wanaume kumi wanaochepuka kisha waulize kwa nini wanachepuka?
Tafuta watu wa kada/uwezo/elimu/dini tofauti.
Hakuna atayekwambia anachepuka eti kwa kuwa mkewe ni mchafu au hajui kupika.
Hizo ni vijisababu tu ambavyo havina maana.
Kwa masomo yenu haya yasio na maana mmewafanya wanawake wengi waone kuwa iwapo mumewe anachepuka basi wa kulaumiwa ni yeye. Mnawatesa hawa wanawake hata kufikia hatua ya kuwa watumwa kwenye ndoa ili tu kukidhi haja na tamaa za.mwanaume.
Wengine mpaka wanaingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wao wa ndoa kwa hofu asipompa hilo tundu basi atachepuka.
Sijui ni aina gani vitabu vya kiroho unavyosoma ikiwa una fikra na mtazamo hafifu kiasi hiki.
Kwani inamgharimu nini mwanaume kufua nguo za.mkojo za mtoto wako au kuhakikisha kuwa nyumba yako ni safi?
Wanawake na wanaume wanaochepuka kutoka kwenye mahusiano ya ndoa hawana sababu zaidi ya maamuzi ya makusudi ya kuvunja uaminifu na viapo vya ndoa.
Let's change instead of entertaining kuchepuka.
[emoji122] [emoji122] maoni mazuri.
 
Back
Top Bottom