Jinsi ya kumlinda mumeo

Jinsi ya kumlinda mumeo

Hata nyie mkitia ngumu, mkaheshimu ndoa zenu na viapo vyenu, wanawake wa nje wataingilia mlango gani? Muwe wanaume kweli, muwe responsible na matendo yenu, sio kujifanya watoto wadogo wasiojua walifanyalo
Walemavu wa ubongo.
 
Mbona huwa sioni mafundisho ya aina hii kwa wanaume? Au ndoa ni ya mwanamke peke yake?
Kwanini mwanamke atumie affort kubwa sana kuilinda ndoa as if ni yake peke yake?

Kwanini muwafanye wanawake wajione watumwa kwa ndoa zao? Hivi yule aloambiwa atumie akili, hiyo akili aitumia wapi?

Na hii mentality inaitafuna jamii kwa kiasi kikubwa sana, kiasi kwamba wanaume wanajiona kumuoa mwanamke ni kumfanyia fadhila tu hivyo apaswa kuhakikisha anabaki humo.
Ndoa ni ya wawili, hizo effort lazima ziwe pande zote, lasivyo ni kutwanga maji kwenye kinu tu.
Nadhani yanalenga kwa wanawake wanaohitaji ndoa kwa ajiri ya kuhifadhiwa. But for life partners kulinda ndoa ni jukumu la wote.
 
Usimavyo labda ni kweli mkuu, sidhani kama ni uchafu au kutopikiwa vizuri au kukalipiwa kunawafanya wanaume watoke nje ya mahusiano yao. Wapo wanawake wanafanya hayo yote hata si kwasababu ana mme ndani bali kwa kuwa anaona ni vyema kuishi mazingira safi na kula vitu vilivyopikwa vizuri na kuongea kwa lugha nzuri na watu. Ila binadamu tuna tabia ya kutamani vitu vipya, tunashindwa kukumbuka kua unapooa si kwamba mkeo ndio mzuri pekee, ila umeamua kujinyima na umechagua mfumo huo wa maisha. Hakuna jambo lenye faida pekee, hata ndoa ina challenge zake. Hivyo kuoa sio kuwa tamaa zako za mwili zimekoma daima utatamani wanawake wengine, ila tu tunatakiwa kujinyima na kusimamia tulicho kichagua.
Wise
 
Siku mtakapojua jua kuwa hakuna kishawishi wala sababu za kuchepuka ndipo fikra sahihi zitakuwa zimeeleweka.
Fanya zoezi dogo
Tafuta wanaume kumi wanaochepuka kisha waulize kwa nini wanachepuka?
Tafuta watu wa kada/uwezo/elimu/dini tofauti.
Hakuna atayekwambia anachepuka eti kwa kuwa mkewe ni mchafu au hajui kupika.
Hizo ni vijisababu tu ambavyo havina maana.
Kwa masomo yenu haya yasio na maana mmewafanya wanawake wengi waone kuwa iwapo mumewe anachepuka basi wa kulaumiwa ni yeye. Mnawatesa hawa wanawake hata kufikia hatua ya kuwa watumwa kwenye ndoa ili tu kukidhi haja na tamaa za.mwanaume.
Wengine mpaka wanaingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wao wa ndoa kwa hofu asipompa hilo tundu basi atachepuka.
Sijui ni aina gani vitabu vya kiroho unavyosoma ikiwa una fikra na mtazamo hafifu kiasi hiki.
Kwani inamgharimu nini mwanaume kufua nguo za.mkojo za mtoto wako au kuhakikisha kuwa nyumba yako ni safi?
Wanawake na wanaume wanaochepuka kutoka kwenye mahusiano ya ndoa hawana sababu zaidi ya maamuzi ya makusudi ya kuvunja uaminifu na viapo vya ndoa.
Let's change instead of entertaining kuchepuka.

Dah umeongea point Sana, ubarikiwe
 
Kama sifa hizi zipo kwa wanawake wa kitanzani basi ndoa zingekuwa zinadumu lkn unakuta mwanamume anarudi nyumbani mwnamke ajaoga mpaka umulize umeshaoga atakuji bado ukimuuliza kwanini atasema nimechelewa kupika au mtoto ananisumbua sana mume wangu kwanini mwnamume asichepuke mwanamke ni mazingira bwana
 
Hata Mimi nimemshangaa huyu anavyopinga hizo hoja ...

Hawa ni walewale wa haki sawa. Anamaanisha wanaume nao wapike, wadeki, wasafishe vyombo na mambo mengine Kama hayo. Mbona hazungumzii yale yasiyowezekana Kama vile kumnyonyesha Mtoto au kubeba mimba na kujifungua kabisa? Dhana ya division of labor ilikuwa nzuri sana ... Sema kutokana na sababu mbalimbali ambazo ni PAMOJA na ugumu wa maisha, mahubiri juu ya haki sawa hasa pale elimu ya kizungu ilipoingia na uhimizaji wa kumuelimisha Mtoto wa like sawa na wa kiume ndipo mambo yalianza kubadilika ... Mdada amesoma hawezi tena kuwa mama wa familia maana nae anataka aajiriwe aingize kipato ... Ile kampeni ya mwanamke akiwezeshwa anaweza nayo ikaleta promotion kubwa mno ... Mwanamke akaanza kupata nguvu ya kifedha ... Baadhi wakaona kuwa maisha yanawezekana bila kumtegemea mwanaume ... Basi dharau, utovu mwingi wa nidhamu kwenye Jamii ukaanza kwani mwanamke kuwa na Hela kulianza kuonekana ni muhimu . Ndipo wengine wakatamani kuwa na Pesa Kama wenye kazi au biashara zao na baadhi ya wanaume wakaanza kutoa hongo Hata kwa wale wenye ndoa zao wakajikuta wanadharau waume zao ... Sitaki kuendelea ...

Lakini chimbuko la yote haya ni kuukanyaga utamaduni wetu na kuiga uleee ... Na twaendelea kuiga mpaka yasiyofaa. Utamaduni haubadilishwi kwa nguvu, na Kama ukifanikiwa kuubadilisha basi hayo mabadiliko yataambatana na madhara makubwa mno. Hayo ndiyo tunayoyaona katika hizi enzi za wanawake wa kibantu kutaka kuishi na waume wao Kama waishivyo wale wa kizungu!

Kina dada badilikeni; bebeni NAFASI zenu Kama wake na si kujibebesha mivichwa isiyo yenu: mwanamke anayekubali uanawake wake hufurahia Matunda ya ndoa yake na huheshimiwa na mumewe na Jamii nzima kwa ujumla. Yule ajifanyaye sawa au zaidi ya mumewe huiangamiza ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe ....
asubuhi asubuhi kukuta MTU wa hivi kaku Quote ni kuharibiana siku ujue.

kwa taarifa tu Mimi nimevutiwa sana na huyo member.

ndio kaongelea kufanya kazi za nyumbani na si kunyonyesha kwa sababu wewe kuwa mwanaume hakukuzuii kufanya kazi za nyumbani, ni UVIVU TU.

na unataka kuniambia mwanamke kujiweza kiuchumi ni jambo baya??

mnataka mwanamke mnyonge atakayeishi matesoni kwa sababu hana uwezo wa kujitegemea?? unataka turudi kwenye kurithishana wake? hutaki mwanamke naye amiliki mali na a Control maisha yake?

kwanza Leo hii una uwezo kweli wa kulea mke na watoto na mshahara wako peke yako? au ndo waenda na kidumu shule?

ni roho ya kutawala wenzio tu inakuandama, ushindwe. Badilisha hiyo roho ya utawala iwe ya upendo.

NDIO, mwanamke anaweza kuishi bila mwanaume, UKWELI NDO HUO. Unataka kuturudisha enzi za kung'ang'ania ndoa chungu kisa imani potofu kama hizi?

wala hamna cha kiburi wala dharau. Kwani wanaume kinachowapa sense of POWER ni nini? Anayecontrol uchumi wako ndo anaControl maisha yako!!

Ndo ilivyo MTU akiwa na uwezo wa kuControl uchumi wake. Atakuwa na POWER, STANDARDS, SAY, na FREEDOM, kitu ambacho hujazoea kuona kwa mwanamke sio?

wala mwanamke kufanya kazi hamzuii kuwa mama. kuwa mama kwako ni kupika na kufua kila siku?? Huo sio umama ni uHouse maid. atleast not when the child is of a school age.

ndo Hawa wanaume wanaona jukumu la kulea ni la mwanamke. Not FATHER FIGURES. I need a man who cooks and cleans after his own children.

kushikilia tamaduni sio sifa. kuna watu wanakeketa hadi Leo kwa sababu ya "tamaduni". shika mazuri acha mabaya.

na wala kubadilisha hizi tamaduni hakuleti madhara yoyote. kuna WAVIVU tu wanaofanya makusudi kabisa ili ilete madhara.

Division of labor mpya ya karne hii haina ubaya wowote, ni mbaya kwa WAVIVU na WASIOPENDA WAKE ZAO.

Hiyo lifestyle ya " kizungu" ndo niliyoitaka, INAVUTIA, INAPENDEZA.

kuna wanawake KIBAO bado wanapenda lifestyle ya zamani ya kukaa nyumbani kujipikilisha. me sipendi kazi za nyumbani wala kupika. Don't worry there's a man for everyone lol.
 
asubuhi asubuhi kukuta MTU wa hivi kaku Quote ni kuharibiana siku ujue.

kwa taarifa tu Mimi nimevutiwa sana na huyo member.

ndio kaongelea kufanya kazi za nyumbani na si kunyonyesha kwa sababu wewe kuwa mwanaume hakukuzuii kufanya kazi za nyumbani, ni UVIVU TU.

na unataka kuniambia mwanamke kujiweza kiuchumi ni jambo baya??

mnataka mwanamke mnyonge atakayeishi matesoni kwa sababu hana uwezo wa kujitegemea?? unataka turudi kwenye kurithishana wake? hutaki mwanamke naye amiliki mali na a Control maisha yake?

kwanza Leo hii una uwezo kweli wa kulea mke na watoto na mshahara wako peke yako? au ndo waenda na kidumu shule?

ni roho ya kutawala wenzio tu inakuandama, ushindwe. Badilisha hiyo roho ya utawala iwe ya upendo.

NDIO, mwanamke anaweza kuishi bila mwanaume, UKWELI NDO HUO. Unataka kuturudisha enzi za kung'ang'ania ndoa chungu kisa imani potofu kama hizi?

wala hamna cha kiburi wala dharau. Kwani wanaume kinachowapa sense of POWER ni nini? Anayecontrol uchumi wako ndo anaControl maisha yako!!

Ndo ilivyo MTU akiwa na uwezo wa kuControl uchumi wake. Atakuwa na POWER, STANDARDS, SAY, na FREEDOM, kitu ambacho hujazoea kuona kwa mwanamke sio?

wala mwanamke kufanya kazi hamzuii kuwa mama. kuwa mama kwako ni kupika na kufua kila siku?? Huo sio umama ni uHouse maid. atleast not when the child is of a school age.

ndo Hawa wanaume wanaona jukumu la kulea ni la mwanamke. Not FATHER FIGURES. I need a man who cooks and cleans after his own children.

kushikilia tamaduni sio sifa. kuna watu wanakeketa hadi Leo kwa sababu ya "tamaduni". shika mazuri acha mabaya.

na wala kubadilisha hizi tamaduni hakuleti madhara yoyote. kuna WAVIVU tu wanaofanya makusudi kabisa ili ilete madhara.

Division of labor mpya ya karne hii haina ubaya wowote, ni mbaya kwa WAVIVU na WASIOPENDA WAKE ZAO.

Hiyo lifestyle ya " kizungu" ndo niliyoitaka, INAVUTIA, INAPENDEZA.

kuna wanawake KIBAO bado wanapenda lifestyle ya zamani ya kukaa nyumbani kujipikilisha. me sipendi kazi za nyumbani wala kupika. Don't worry there's a mam for everyone lol.
Hivi zile sukari hazijaisha nikutumie nyingine?
 
asubuhi asubuhi kukuta MTU wa hivi kaku Quote ni kuharibiana siku ujue.

kwa taarifa tu Mimi nimevutiwa sana na huyo member.

ndio kaongelea kufanya kazi za nyumbani na si kunyonyesha kwa sababu wewe kuwa mwanaume hakukuzuii kufanya kazi za nyumbani, ni UVIVU TU.

na unataka kuniambia mwanamke kujiweza kiuchumi ni jambo baya??

mnataka mwanamke mnyonge atakayeishi matesoni kwa sababu hana uwezo wa kujitegemea?? unataka turudi kwenye kurithishana wake? hutaki mwanamke naye amiliki mali na a Control maisha yake?

kwanza Leo hii una uwezo kweli wa kulea mke na watoto na mshahara wako peke yako? au ndo waenda na kidumu shule?

ni roho ya kutawala wenzio tu inakuandama, ushindwe. Badilisha hiyo roho ya utawala iwe ya upendo.

NDIO, mwanamke anaweza kuishi bila mwanaume, UKWELI NDO HUO. Unataka kuturudisha enzi za kung'ang'ania ndoa chungu kisa imani potofu kama hizi?

wala hamna cha kiburi wala dharau. Kwani wanaume kinachowapa sense of POWER ni nini? Anayecontrol uchumi wako ndo anaControl maisha yako!!

Ndo ilivyo MTU akiwa na uwezo wa kuControl uchumi wake. Atakuwa na POWER, STANDARDS, SAY, na FREEDOM, kitu ambacho hujazoea kuona kwa mwanamke sio?

wala mwanamke kufanya kazi hamzuii kuwa mama. kuwa mama kwako ni kupika na kufua kila siku?? Huo sio umama ni uHouse maid. atleast not when the child is of a school age.

ndo Hawa wanaume wanaona jukumu la kulea ni la mwanamke. Not FATHER FIGURES. I need a man who cooks and cleans after his own children.

kushikilia tamaduni sio sifa. kuna watu wanakeketa hadi Leo kwa sababu ya "tamaduni". shika mazuri acha mabaya.

na wala kubadilisha hizi tamaduni hakuleti madhara yoyote. kuna WAVIVU tu wanaofanya makusudi kabisa ili ilete madhara.

Division of labor mpya ya karne hii haina ubaya wowote, ni mbaya kwa WAVIVU na WASIOPENDA WAKE ZAO.

Hiyo lifestyle ya " kizungu" ndo niliyoitaka, INAVUTIA, INAPENDEZA.

kuna wanawake KIBAO bado wanapenda lifestyle ya zamani ya kukaa nyumbani kujipikilisha. me sipendi kazi za nyumbani wala kupika. Don't worry there's a man for everyone lol.
Hivi tangu lini culture ikawa static!!! Kwanini kwenye hili wanaliwekea ukakasi sana as if inapunguza nguvu za kiume?

Alafu hawa hawa ndio wanalilia kila siku humu kuhusu kusaidiana majukumu ya familia na mwanamke, ila cha ajabu ni kuwa kusaidiana huko ni katika pesa tu vingine nehiii!!

Basi watusomeshe then watulipe tukae nyumbani tuwafanyie hayo wayatakayo, kama wanaweza, ila sio tushurutishane.

Kila mtu na afanye nafasi yake, maana wangekuwa wanaweza kujimudu sidhani kama hizi zingekuwa kelele tena.
 
Binamu wanaume Wa siku hizi sio kama wa zamani, hata waridhishwe vp watachepuka tu, utadhani kuchepuka ndio fasion yao, cha Msingi kumuomba tu MUNGU ahusike nawe ukitahidi kwa nafasi yako.
 
Jamani kama MTU ni wa mchepuko atachepuka tu !hata ungefanyie nini .wanawake tuache utumwa wa ndoa jaman coz kama mtu anaona lazima ale kila akionacho huwez mzuia mpaka achue uamuzi mwenyewe!Kwani ni wanaume wangap wanawaacha wanawake zao nyumban anaamua kuchepuka na mahousegirl wao ambao hata hawajajua kuoga?Anaweka kutoka na mtu ambay uzua maswali mengi vichwan mwa watu "hivi huyu mwanaume kakosa nn kwa mkeo?mbona mke wake ni mzuri na anajipenda kwann hiv?
 
Hivi tangu lini culture ikawa static!!! Kwanini kwenye hili wanaliwekea ukakasi sana as if inapunguza nguvu za kiume?

Alafu hawa hawa ndio wanalilia kila siku humu kuhusu kusaidiana majukumu ya familia na mwanamke, ila cha ajabu ni kuwa kusaidiana huko ni katika pesa tu vingine nehiii!!

Basi watusomeshe then watulipe tukae nyumbani tuwafanyie hayo wayatakayo, kama wanaweza, ila sio tushurutishane.

Kila mtu na afanye nafasi yake, maana wangekuwa wanaweza kujimudu sidhani kama hizi zingekuwa kelele tena.
juzi juzi nilikuwa nasoma comments za watu online, nafikiri topic ilikuwa kuhusu umasikini wa waafrika. basi kuna kitoto cha kizungu kikasena Mimi baba yangu alienda Zimbabwe hata sio maskini, wana umeme na maji sema baba kasema wanaume wao wavivu kila kitu wanaachia wanawake.

I was like BAM!! umeona eeeehhh.
 
juzi juzi nilikuwa nasoma comments za watu online, nafikiri topic ilikuwa kuhusu umasikini wa waafrika. basi kuna kitoto cha kizungu kikasena Mimi baba yangu alienda Zimbabwe hata sio maskini, wana umeme na maji sema baba kasema wanaume wao wavivu kila kitu wanaachia wanawake.

I was like BAM!! umeona eeeehhh.
Unadhani alisema uongo? Huo ndio ukweli na hali halisi kabisa. Kwa kiasi kikubwa wanawake ndio wanahangaika na familia, akina baba wamejisahau kweli hata malezi akina mama ndio wanahangaika.

Wao wapo busy kusubiri kufuliwa hadi boksa, usipofua aje kulia lia mitandaoni. Na kuna kale kamsemo kao ka kivivu eti mwanaume anatengenezwa na mwanamke, au katika mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke.

Yaani hawa viumbe hawataki kubeba mizigo yao wenyewe lazima wasingizie wanawake. Mchezo ulianzia Eden ila mpaka sasa wamegoma kufunguka, tena hawa wetu wa kiafrika ndio kuna mafurushi hatari.

Sperm doners.
 
Unadhani alisema uongo? Huo ndio ukweli na hali halisi kabisa. Kwa kiasi kikubwa wanawake ndio wanahangaika na familia, akina baba wamejisahau kweli hata malezi akina mama ndio wanahangaika.

Wao wapo busy kusubiri kufuliwa hadi boksa, usipofua aje kulia lia mitandaoni. Na kuna kale kamsemo kao ka kivivu eti mwanaume anatengenezwa na mwanamke, au katika mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke.

Yaani hawa viumbe hawataki kubeba mizigo yao wenyewe lazima wasingizie wanawake. Mchezo ulianzia Eden ila mpaka sasa wamegoma kufunguka, tena hawa wetu wa kiafrika ndio kuna mafurushi hatari.

Sperm doners.
😀

sijui uliona thread ya yule Dada, mume wake hamsaidii nyumbani anachoka na usiku nako anachoshwa.

nilisoma comments nikaishia kumpa pole tu, manake ndo niliona akili za wanaume huku and there was no way I could fight them all.

aliyeniacha hoi akamuuliza "umeambiwa kwenye ndoa kuna kupumzika?"

ndo ujue kuwa mke wa muafrika means kuwa mtumwa wake otherwise you're not woman enough and you're useless na atatishia kukureplace any time.

sasa ndo mapenzi haya au kitu gani!! na si unajua kujulikana una ndoa ndo kila kitu huku, basi mnabanana hivyo hivyo.

what a life!!
 
Back
Top Bottom