Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,099
- Thread starter
- #81
Yaan sahihi kabsa,,,,,,,part2 ni meSubiri kwanza mkuu. Leo Illovo kadadavua upande wa Ke, siku nyingine ataleta pointi za Me.
Tulia dawa iingie vizuri.
Yaan sahihi kabsa,,,,,,,part2 ni meSubiri kwanza mkuu. Leo Illovo kadadavua upande wa Ke, siku nyingine ataleta pointi za Me.
Tulia dawa iingie vizuri.
Bado nipo karibu sn unataka kunitembelea?????K2 umehama siku hizi?


Asante pastor miss u more nasubiria wajibu wa mumeHongera sn my Dada miss chagga, nilikumic mzma we??????
Hapo nimeanza tu na wajibu Wa mke nitaendelea na wajibu Wa mume. Just stay online
Hebu dadavua hapo kwenye kitandani awe vizuri...? Awe ameoga,amejipodoa,amevaa nguo nzuri,umbo la kubutia akiwa mtupu ama?
Very true, kuna wanawake wanaongea na 'kubwatuka' hata concentration inapotea ndani.Umesahau 'kukaa kimya'
wakati mwingine mwanamke anatakiwa tu anyamaze kiimya
ili mtu kichwa kitafakari ya maana
sio kuta tu kuongea ongea
Habari za majukumu wapendwa?
Wanawake wengi hawajui nafasi ya mume, hivyo kufanya mambo kiholela na kujikuta NDOA inaanza kuleta matatzo.
Jinsi ya kumlinda mumeo:
1. MAPISHI
Unapokua upo jikoni unaandaa chakula, ni lazima ujue kuwa anaekula ni mumeo, hivyo ni vizuri ukatumia ujuzi wako wote kuhakikisha mumeo anakula chakula kizuri. Wanawake wanapika chakula kizuri siku za sikukuu ndo anajitahidi kutumia uelewa wake wote katika kupika ili tu aonekane na majirani.
Au siku ukisikia mumeo anakuja na mgeni rafki yake alafu yamkini ni mtu mwenye cheo fulani ndo unataka upike vizuri.
KWA IYO USITAKE KUPIKA VIZURI ETI KWA SABABU KUNA MGENI AMEKUTEMBELEA BALI IWE NDO TABIA YAKO KWA MUMEO
2. USAFI
Wanawake bado hawajajua kuwa usafi ni kivutio pia kikubwa kwa mwanamume. Na kama tunavyojua kuwa usafi maana yake ni "kila kitu mahali pake"
Sasa wanawake utakuta vijiko vya chakula vipo kwenye kitanda eti kwa sababu tu ana mtoto mdogo. Au nguo za mikojo ya mtoto unaweka chini ya kitanda mpaka zinaanza kutoa harufu. USAFI NI MUHIMU SANA, IWE KWAKO MKE, AU MAZINGIRA YA NYUMBA. NA HAPA SIMAANISHI KUWA MSAFI KWA MAANA YA KUJIPODOA.
3. MANENO MAZURI
Mke ni lazma ujue maneno ya kuongea na mumeo. Maneno mazuri yatamlinda mumeo pale atakapoyasikia kwa wengine. NA HATA KAMA MUMEO HATAONYESHA KUJALI, BADO WEWE MKE UNATAKIWA KUENDELEA KUKAA KWNYE HIYO NAFASI.
Mungu akusaidie ewe mke kuitumia nafasi yako. Kama una swali katika NDOA na huwezi kuliweka hapa njoo inbox au piga simu 0788 599211, 0757 856336 kwa ushauri zaidi na maombezi au fika Kanisani kwetu Mlima wa Neema hapa Tegeta Kibo.
Imekuwa serious kiasi hicho?ULTIMATE SECURITY INANIHUSU!
mwambie atulize kamguu kwako, hatawamaliza hapa mjini wamejaa.MUNGU AKUBARIKI NA ZAIDI KUKUONGEZEA.Siku mtakapojua jua kuwa hakuna kishawishi wala sababu za kuchepuka ndipo fikra sahihi zitakuwa zimeeleweka.
Fanya zoezi dogo
Tafuta wanaume kumi wanaochepuka kisha waulize kwa nini wanachepuka?
Tafuta watu wa kada/uwezo/elimu/dini tofauti.
Hakuna atayekwambia anachepuka eti kwa kuwa mkewe ni mchafu au hajui kupika.
Hizo ni vijisababu tu ambavyo havina maana.
Kwa masomo yenu haya yasio na maana mmewafanya wanawake wengi waone kuwa iwapo mumewe anachepuka basi wa kulaumiwa ni yeye. Mnawatesa hawa wanawake hata kufikia hatua ya kuwa watumwa kwenye ndoa ili tu kukidhi haja na tamaa za.mwanaume.
Wengine mpaka wanaingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wao wa ndoa kwa hofu asipompa hilo tundu basi atachepuka.
Sijui ni aina gani vitabu vya kiroho unavyosoma ikiwa una fikra na mtazamo hafifu kiasi hiki.
Kwani inamgharimu nini mwanaume kufua nguo za.mkojo za mtoto wako au kuhakikisha kuwa nyumba yako ni safi?
Wanawake na wanaume wanaochepuka kutoka kwenye mahusiano ya ndoa hawana sababu zaidi ya maamuzi ya makusudi ya kuvunja uaminifu na viapo vya ndoa.
Let's change instead of entertaining kuchepuka.
Yap, nielekeze mtumishi nije unipige upako...Bado nipo karibu sn unataka kunitembelea?????![]()
Kumbe unaijua hulka yetu....Hahaaaa!!sio kwa kiumbe ambae hujamuumba wewee!
Mwenye tabia yake haachi hata umfanyeje!
Hahaaaa!!aiseee!!
Fanya yote!mwingine nature yake kua na michepuko!


nimeona zana za ulinzi zimewekwa nying sanaImekuwa serious kiasi hicho?![]()
![]()
mwambie atulize kamguu kwako, hatawamaliza hapa mjini wamejaa.
Tuache kudanganyanya huwezi mlinda mtu mwenye meno yake 32 ni ngumu sana