Jinsi ya kumlinda mumeo

Jinsi ya kumlinda mumeo

..Kuchepuka ni Choice Ila wanawake wanakua source mno they Get comfortable kisa kaolewa Unlike alivyokua enzi anawindwa
Aiseee!! Hivi huwa mnadhani mnaoa saints?? Hiyo comfortability huwa pande zote, we ongea na wanawake waliolewa watakuambia.

Mtambue kuwa baada ya kuoana wanafuatia watoto hivyo mama anajigawa kwa watoto na mume, haiwezi ikawa sawa na kabla mlivyokuwa wawili tu!!

Huyu mke ni mfanyakazi/mfanyabiashara(kama wewe) ila bado ni mke na mama, kweli kwa uzito huo wa majukumu bado hadi boksa unalilia kufuliwa!!!

Damn!!!
 
mi nashangaa dunia ya sasa bado watu wanawasumbua wanawake mara kupika,kufua n.k ili alinde ndoa mpo dunia ya ngapi nyie?zamani wanawake asilimia kubwa walikuwa mam wa nyumbani kwani jukumu la kutafuta kwa jasho lilikuwa la baba.sasa hivi wanawake tumekuwa watafutaji kuliko hata wanaume utoke oficn sangapi na kwa jiji la dar lilivyo umpikie mume?ndoa ni pande mbili hakuna utumwa wa mmoja kwenye mapenzi.omba tu mungu asikupe mwanaume mpenda papuchi tu basi.
 
Likija suala la pesa tunatakiwa tusaidiane ila kuosha vyombo ni majukumu ya mwanamke, sijui quran na biblia ndio vimeandika hivyo!!

Hawa watu wanadhani wanawake ni roborts!! Basi tutaweka security wakichepuka ni mkong'oto tu turahisishiane kazi.
mwanamke asipotoa hela yake ataitwa kila jina. hana upendo, hana busara. mbinafsi. Eti si ukae nyumbani tu sasa?? utafkiri hizo kazi za nyumbani hafanyi japokuwa hakai nyumbani. ili mradi akukomoe tu.

wao kufanya kazi za nyumbani basi wamepandwa kichwani, mwanamke hana heshima, hajui majukumu yake.

yani mradi wakuone una pilika ndo roho kwatu, huku wao wamekaa , wanazungusha round wanaongelea chura.

naona muendelezo wa VITUKO tu kutoka kwa VITUKO.
 
wavivu na wapenda cheap labor utawajua tu
Sasa cheaplabour mnataka tuipate wapi??? Kama sio kwenu...binafsi pamoja na sababu nyingie za kuoa ila nategemea kula vzr from wife, kufuliwa, na vingine vyote...
 
Sasa cheaplabour mnataka tuipate wapi??? Kama sio kwenu...binafsi pamoja na sababu nyingie za kuoa ila nategemea kula vzr from wife, kufuliwa, na vingine vyote...
ndo uoe mwanamke kwenye mtazamo kama wako.
Mimi siwezi kuishi na MTU kama wewe. utakuwa MZIGO. plus sioni mapenzi hapo.
 
Aiseee!! Hivi huwa mnadhani mnaoa saints?? Hiyo comfortability huwa pande zote, we ongea na wanawake waliolewa watakuambia.

Mtambue kuwa baada ya kuoana wanafuatia watoto hivyo mama anajigawa kwa watoto na mume, haiwezi ikawa sawa na kabla mlivyokuwa wawili tu!!

Huyu mke ni mfanyakazi/mfanyabiashara(kama wewe) ila bado ni mke na mama, kweli kwa uzito huo wa majukumu bado hadi boksa unalilia kufuliwa!!!

Damn!!!
..Its her responsibility,ndo maana Ya kuwa mama and its what the religious book even use to define a wise wife,HARD WORK!!!
 
Pasta bana

Inadhani hivyo ndio ulinzi????

Heri hata ungesema umkabidhi kwa Mungu asubuhi na jioni

Ila hizo ulizozitaja kuna watu wanazifanya na zaidi bado wanachepuka tu

Asipojilinda hakuna wa kumlinda
 
mwanamke asipotoa hela yake ataitwa kila jina. hana upendo, hana busara. mbinafsi. Eti si ukae nyumbani tu sasa?? utafkiri hizo kazi za nyumbani hafanyi japokuwa hakai nyumbani. ili mradi akukomoe tu.

wao kufanya kazi za nyumbani basi wamepandwa kichwani, mwanamke hana heshima, hajui majukumu yake.

yani mradi wakuone una pilika nd roh kwatu, huku wao wamekaa , wanazungusha round wanaongelea chura.

naona muendelezo wa VITUKO tu kutoka kwa VITUKO.
Hahaaaa!! Eti wanaongelea chura(utadhani waliziumba)!!

Mwanamke anatakiwa kuwa robort na malaika pia, asikosee hata kidogo.
Asipofua boksa tu basi ni mada atajadiliwa hadi mitandao ya kijamii, wakati hilo furushi limetulia sebuleni linaangalia tv tu au yuko bar anazungusha rounds!! hata home work hasaidii watoto bado mama akishamaliza kumfulia boksa aje na homework asaidie watoto.

Wanaume wanajisahau kupita maelezo, wanawake ndio wanahangaika na familia kwa kiasi kikubwa siku hizi. Hizi kitchen party waanze kupeana sasa maana hali ni mbaya.
 
..Its her responsibility,ndo maana Ya kuwa mama and its what the religious book even use to define a wise wife,HARD WORK!!!
Nipe mistari ya hivyo vitabu vya dini vinavyosema hayo ulosema.
 
Siku mtakapojua jua kuwa hakuna kishawishi wala sababu za kuchepuka ndipo fikra sahihi zitakuwa zimeeleweka.
Fanya zoezi dogo
Tafuta wanaume kumi wanaochepuka kisha waulize kwa nini wanachepuka?
Tafuta watu wa kada/uwezo/elimu/dini tofauti.
Hakuna atayekwambia anachepuka eti kwa kuwa mkewe ni mchafu au hajui kupika.
Hizo ni vijisababu tu ambavyo havina maana.
Kwa masomo yenu haya yasio na maana mmewafanya wanawake wengi waone kuwa iwapo mumewe anachepuka basi wa kulaumiwa ni yeye. Mnawatesa hawa wanawake hata kufikia hatua ya kuwa watumwa kwenye ndoa ili tu kukidhi haja na tamaa za.mwanaume.
Wengine mpaka wanaingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wao wa ndoa kwa hofu asipompa hilo tundu basi atachepuka.
Sijui ni aina gani vitabu vya kiroho unavyosoma ikiwa una fikra na mtazamo hafifu kiasi hiki.
Kwani inamgharimu nini mwanaume kufua nguo za.mkojo za mtoto wako au kuhakikisha kuwa nyumba yako ni safi?
Wanawake na wanaume wanaochepuka kutoka kwenye mahusiano ya ndoa hawana sababu zaidi ya maamuzi ya makusudi ya kuvunja uaminifu na viapo vya ndoa.
Let's change instead of entertaining kuchepuka.
UMEMALIZA KILA KITU NILICHOTAKA KUONGEA HUO NDIO UKWELI. Ambacho wanawake wengi hawaelewi ni kwamba tangia wanaolewa wanafanya machaguzi mabaya na hii ni kwa pande zote mbili, Ni vyema kuoa/kuolewa na wenza wenye woga na Mungu, ukipata mume wa aina hii utaepukana na mengi, ila hali imekuwa tofauti siku hizi tunachagua wanaume kisa ana elimu na pesa, mwenye woga na Mungu halaf hana pesa unakuta anaenda kuangukia kwa mwanamke ambae alishahangaika na wenye pesa umri umekwenda sasa anatafuta kuolewa unakuta si mke sahihi, na kwa mwanaume hivyo hivyo unakuta ameshahangaika na wanawake wenye sura na shape nzuri ndoa anatafuta binti wa watu aliejichunga na mwema n.k.

KUWAPA WANAUME WOTE SIFA MOJA NI KUWAKOSEA....Wanaume wako aina 3-
WA KWANZA ni Malaya hata uwape hiyo 0713 hawatulii unapoteza tu utu wako.

WA PILI ni mpole hana tatizo ila anatoka nje ya ndoa sabab ya matatizo ya ndani huyu kama mke anajirekebisha anatulia kabsaa, hawa nao wako wengi nadhani mtoa mada anazungumiza mwanaume namba 2.

WA TATU Ni mwema tu yeye hata mke awe mchafu bado ni mvumilivu na huo usafi anaweza hata ufanya kwa mikono yake kulinda ndoa yake.

SASA JIANGALIE UMEPATA MUME AINA IPI NDO UTAJUA UWE VIPI? Kama umepata namba moja nenda msikitini au kanisani akaombewe huwezi mbadilisha...
 
..Its her responsibility,ndo maana Ya kuwa mama and its what the religious book even use to define a wise wife,HARD WORK!!!
back then when women were just housewives.
and working women still do HARD WORK.

Those books also COMMAND you to love your neighbor as your self, treat your wife like your own body, do unto others as you want them to do to you, to look out for other people's interests and not only your own.

And I'm very sure when the bible asked to observe ants and imitate them, it wasn't only taking to women.

umekaa na tunguli zako kabisa una quote vitavu kutetea uvivu wako!!!!!!
 
back then when women were just housewives.
and working women still do HARD WORK.

Those books also COMMAND you to love your neighbor as your self, treat your wife like your own body, do unto others as you want them to do to you, to look out for other people's interests and not only your own.

And I'm very sure when the bible asked to observe ants and imitate them, it wasn't only taking to women.

umekaa na tunguli zako kabisa una quote vitavu kutetea uvivu wako!!!!!!
Hahahaaaaaa!!!!
 
asmaa80 si hadi uamini mungu ndo uwe na viwango vya maadili. MTU anyefanya mazuri anapotishiwa moto tu na sio kwa sababu kataka kufanya mazuri, HAFAI, not in this era.
 
Hahaaaa!! Eti wanaongelea chura(utadhani waliziumba)!!

Mwanamke anatakiwa kuwa robort na malaika pia, asikosee hata kidogo.
Asipofua boksa tu basi ni mada atajadiliwa hadi mitandao ya kijamii, wakati hilo furushi limetulia sebuleni linaangalia tv tu au yuko bar anazungusha rounds!! hata home work hasaidii watoto bado mama akishamaliza kumfulia boksa aje na homework asaidie watoto.

Wanaume wanajisahau kupita maelezo, wanawake ndio wanahangaika na familia kwa kiasi kikubwa siku hizi. Hizi kitchen party waanze kupeana sasa maana hali ni mbaya.
embu tumuulize sumbai wakati mkewe anatafuta hela, anatunza nyumba na kulea yeye anafanya Nini?
 
asmaa80 si hadi uamini mungu ndo uwe na viwango vya maadili. MTU anyefanya mazuri anapotishiwa moto tu na sio kwa sababu kataka kufanya mazuri, HAFAI, not in this era.

Nadhani nilichogusia ni Muhusika kutafuta Mwenza mwenye Woga na Mungu, sasa hao wanaoogopa Moto sijui nini ni juu yake Muhusika kuwa makini kama walivyosasa wanavyochunguza vitu ambavyo si vya msingi. wanakaa miaka 2 au 3 anamchnguza kama anafaa, KWAHIYO NI WA WAKATI WAKUCHUNGUZA ANA WOGA WA MUNGU AU MOTO..Ukipata jibu ndo utajua yupi amuoe.
 
Ndugu yako ameshaanza mambo yake hahahahh
Hahahaaaa!! Kwakweli watuambie tu hiyo biblia inayosema wawe wavivu.
'utakula kwa jasho'sasa ni vipi utakula pachafu na vyombo vichafu?? Utakwendaje kutoa hilo jasho na nguo zenye jasho la jana!!!

Tunafanya kwa hisani na upendo tu, wasifanye ndio majukumu yetu na tusipofanya watushikie bango. Bado na pesa wapangie bajeti!!! Kiruuuuu!!!
 
back then when women were just housewives.
and working women still do HARD WORK.

Those books also COMMAND you to love your neighbor as your self, treat your wife like your own body, do unto others as you want them to do to you, to look out for other people's interests and not only your own.

And I'm very sure when the bible asked to observe ants and imitate them, it wasn't only taking to women.

umekaa na tunguli zako kabisa una quote vitavu kutetea uvivu wako!!!!!!
..kwaio kwa kwenda ofisini ndo circumstances zmechange au?!
Tunguli zangu hizi hapa
Proverbs 31
Praise for a Good Wife
10 Who can find a virtuous woman? for her price is far above rubies.
11 The heart of her husband doth safely trust in her, so that he shall have no need of spoil.
12 She will do him good and not evil all the days of her life.
13 She seeketh wool, and flax, and worketh willingly with her hands.
14 She is like the merchants' ships; she bringeth her food from afar.
15 She riseth also while it is yet night, and giveth meat to her household, and a portion to her maidens.
 
Hahahaaaa!! Kwakweli watuambie tu hiyo biblia inayosema wawe wavivu.
'utakula kwa jasho'sasa ni vipi utakula pachafu na vyombo vichafu?? Utakwendaje kutoa hilo jasho na nguo zenye jasho la jana!!!

Tunafanya kwa hisani na upendo tu, wasifanye ndio majukumu yetu na tusipofanya watushikie bango. Bado na pesa wapangie bajeti!!! Kiruuuuu!!!
..sio hisani Ya upendo,its responsibility no wonder mme anaacha mke anafata HouseGirl,wives wa cku hizi longolongo nyingi they are meant to dwindle chini kabisa kwenye Chain,they should deal with It
 
Back
Top Bottom