Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,572
Yaani we acha tu, ukifuatilia tu hata comment zao humu unaona tu ni kwa kiasi gani wanawake tuna mizigo, maana ndio hawa hawa waume zetu.😀
sijui uliona thread ya yule Dada, mume wake hamsaidii nyumbani anachoka na usiku nako anachoshwa.
nilisoma comments nikaishia kumpa pole tu, manake ndo niliona akili za wanaume huku and there was no way I could fight them all.
aliyeniacha hoi akamuuliza "umeambiwa kwenye ndoa kuna kupumzika?"
ndo ujue kuwa mke wa muafrika means kuwa mtumwa wake otherwise you're not woman enough and you're useless na atatishia kukureplace any time.
sasa ndo mapenzi haya au kitu gani!! na si unajua kujulikana una ndoa ndo kila kitu huku, basi mnabanana hivyo hivyo.
what a life!!
Wanaojitambua ni wachache mnooo. Angalia thread yoyote iliyoanzishwa na mwanamke kuhusu tatizo la mwanaume, yaani atageuziwa yeye lawama zote ikiwezekana na matusi juu, sasa ikija inayohusu wanawake yaani yatawatoka hadi ya sirini, mpaka unabaki tu kusema hawa ndio watoto,waume na baba zetu kweli!!
Haki kama ni laana nadhani Afrika tulipewa na bonus.