Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Hata nikikufanyia hivyo hutoridhika?Binadamu hawaridhiki, hata umfanyie mazuri mangapi...
Hata nikikufanyia hivyo hutoridhika?Binadamu hawaridhiki, hata umfanyie mazuri mangapi...
No wonder!! Sasa kwanini hamuwaoi hao house girls in the first place????..sio hisani Ya upendo,its responsibility no wonder mme anaacha mke anafata HouseGirl,wives wa cku hizi longolongo nyingi they are meant to dwindle chini kabisa kwenye Chain,they should deal with It![]()
![]()
Mmmh siku hizi umezidi kuthink critically khaaaa. Kweli waoage tu housegirls watulie na ndoa zao. No need of kuzunguka mbuyu, Waachane na wanawake wengine coz hata wakiwaoa watarudi tu kwa housegirlsNo wonder!! Sasa kwanini hamuwaoi hao house girls in the first place????
Simple and clear warahisishe kazi tu ili washinde bar vizuri, wala hawatopata taabu ya kuchungulia nani atafua boksa zake.Mmmh siku hizi umezidi kuthink critically khaaaa. Kweli waoage tu housegirls watulie na ndoa zao. No need of kuzunguka mbuyu, Waachane na wanawake wengine coz hata wakiwaoa watarudi tu kwa housegirls
Hahaha me sitaki bana, eti wasipate tabu ya kuchunguliaSimple and clear warahisishe kazi tu ili washinde bar vizuri, wala hawatopata taabu ya kuchungulia nani atafua boksa zake.
SwadaktaaUmesahau point ya 4... Na kitandani awe vizuri. Mambo muhimu hayoo![]()
..It because we forget to sharpen our senses,movie nyingi mpka inafika Point unaamin kuna Lady in a modest womanNo wonder!! Sasa kwanini hamuwaoi hao house girls in the first place????
huyo atakayekuwa na wewe ndo yuko chini kwenye chain, mmebanana hapo chini wewe na yeye..,wives wa cku hizi longolongo nyingi they are meant to dwindle chini kabisa kwenye Chain,they should deal with It![]()
![]()
..Tatizo naona hapa ni Equality mnatafuta kumbe something that can never be fathomed,itabaki kuwa ndotohuyo atakayekuwa na wewe ndo yuko chini kwenye chain, mmebanana hapo chini wewe na yeye

ha[/QUOTE]hapo sasa mwanaume mwingine ukimkalia kimya anasema ni kiburi... anaenda kwa muongeaji kuchepuka. UOTE="The Boss, post: 17781669, member: 18247"]Umesahau 'kukaa kimya'
wakati mwingine mwanamke anatakiwa tu anyamaze kiimya
ili mtu kichwa kitafakari ya maana
sio kuta tu kuongea ongea
nafanya ninachokiweza, kilicho nje ya uwezo wangu kamwe sijilazimishi,
tunatumia muda mwingi kumwabudu Mwanaume mwenye fikra binafsi na matamanio kama binadamu wengine.
tunasahau kumwabudu Mungu,
siku akishindikana kutwa kumlilia Mungu.
Binadamu haridhishwi, ila huridhika.

Siku mtakapojua jua kuwa hakuna kishawishi wala sababu za kuchepuka ndipo fikra sahihi zitakuwa zimeeleweka.
Fanya zoezi dogo
Tafuta wanaume kumi wanaochepuka kisha waulize kwa nini wanachepuka?
Tafuta watu wa kada/uwezo/elimu/dini tofauti.
Hakuna atayekwambia anachepuka eti kwa kuwa mkewe ni mchafu au hajui kupika.
Hizo ni vijisababu tu ambavyo havina maana.
Kwa masomo yenu haya yasio na maana mmewafanya wanawake wengi waone kuwa iwapo mumewe anachepuka basi wa kulaumiwa ni yeye. Mnawatesa hawa wanawake hata kufikia hatua ya kuwa watumwa kwenye ndoa ili tu kukidhi haja na tamaa za.mwanaume.
Wengine mpaka wanaingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wao wa ndoa kwa hofu asipompa hilo tundu basi atachepuka.
Sijui ni aina gani vitabu vya kiroho unavyosoma ikiwa una fikra na mtazamo hafifu kiasi hiki.
Kwani inamgharimu nini mwanaume kufua nguo za.mkojo za mtoto wako au kuhakikisha kuwa nyumba yako ni safi?
Wanawake na wanaume wanaochepuka kutoka kwenye mahusiano ya ndoa hawana sababu zaidi ya maamuzi ya makusudi ya kuvunja uaminifu na viapo vya ndoa.
Let's change instead of entertaining kuchepuka.
Kumbe nanyi mnasahau!! I thot mmekamilika...It because we forget to sharpen our senses,movie nyingi mpka inafika Point unaamin kuna Lady in a modest woman
Na hii ni muhimu sana sijui kwa nini ameisahauUmesahau point ya 4... Na kitandani awe vizuri. Mambo muhimu hayoo![]()
Hahahaaa ..hakurudia kusoma alichoandika,maana hiyo kitu bana hata get msafi vipi kama hutoi mambo inakuwa haina maanaNa hii ni muhimu sana sijui kwa nini ameisahau
Mimi ntaridhika. Sijui wengine..Hata nikikufanyia hivyo hutoridhika?