Jinsi ya kumdai rafiki yako hela

Jinsi ya kumdai rafiki yako hela

Bora hata mwamba anakulipa hata kwa installment. Watanzania wengi matapeli.
Mkuu MFALME WETU pole sana nimeumia sana sababu dunia ya sasa watu wema ni wachache sana sasa inapotokea mtu uwema unakukosti tena ndio huwa naumia sana

Mimi mwenyewe kama wewe tu yani nakuwaga na uzito sana kudai changu kwa marafiki. Mimi huwa nafikiria labda atajiongeza anilipe bila mimi kuanza pata Usumbufu wa kumdai.. Lakini cha ajabu ndio inakuwaga tofauti kabisa
Jamaa yangu nilipokuwa na kazi nikamuazima 200k kumdai nimeshindwa mpk sasa mwaka umeisha. Majuz kati ndio sijui amejistukia ananiuliza hivi unanidai sh ngapi nikamwambia me sikumbuki maana umepita mda mrefu sana sasa (huku moyoni nasema huyu jamaa Fala nn inamana hakumbuki deni analodaiwa au anajitoa fahamu) amekaa wee badae ananiambia ni laki mbili nmekumbuka ila ntakulipa kwa installment 100/100 😂😂. Me sikumjibu chochote ndio mara naona katuma mia, mia nyingine next month imagine after almost a year now bado deni inalipwa kwa installment 😭😭. Na jamaa usifikiri labda ni jobless nop... muajiriwa kabisa tena kwenye taasisi moja inaheshimika sana ya kiserikali sasa huwa najiuliza hivi ni makusudi au shida nn?

Na sahivi nilivokuwa jobless ndio nahamaki kabisa nikikumbuka hela hyo bs tu sababu ni friend wa muda mrefu not less than 10 yrs.
 
Bora hata ww anajibu sms zako.Yaan mimi story yako ipo kama ya kwangu kwenye muda sema utofaut wake ni kwamba jamaa aliomba nimkopeshe elfu 50 tu.Mpaka sasa hapokei simu zangu till now na nina hasira balaa.Kila mara nawaza nimfanye nini maana ni rafiki yangu sana.
Kagame jasusi mbobevu unauliza umfanye nini kiumbe kinachopumua?
 
Mkuu binafsi nina degree ya sheria. Izi mambo za kumpeleka mdaiwa wako mahakamani ni kupoteza pesa na muda bora kudeal nae kitaa zaidi ili tufundishane maisha yanavotakiwa kuwa maana biashara ilifanyika kirafiki sana.. no receipt wala kielelezo chochote cha kuashiria kuwa tulifanya biashara, just three of us[emoji120]
Mahakamani huko unapoteza muda kweli, siipendi hio route na ndio maana sijapeleka mashtaka huko.
 
Ilitokea kwa dada mmoja hivi aisee kila nikitaka kumfata napotezea,nikienda inatokea mvua kubwa balaa lazima kitokee kitu siku moja nikasema simuachi hapo umepita mwaka nikaenda mshtaki police,akaanza kunizunguka kwa mapolice lakin alirudisha pesa na police alokuwa anashirkiana nae nikzinguana nae sitaki ajihusishe na hiyo kesii,
alianza kuwa upande wa nnaemdai,nikasema huyu police hanijui nikawa naenda kituon simsalimii nampita naenda kwa mkubwa wake, nililipwa,kama kitu haki yako pambana utapata utapata
Siku nalipwa huyo police ananiambia tuachie ya maji nilimkata jicho halaf nikaondoka moyoni nikamtukana ku… la mmamako [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hii nchi kuna watu wanaudhi ukiwa na bastola unaua
Mapolisi wanakuwaga na mambo ya kisenge sana sometimes
 
Fata njia sahihi upate haki yako, ikiwezekana mpeleke kwenye vyombo vya Sheria, make sure una risiti maana Hawa polisi nao wakipata loophole watakusumbua!! Usitumie ubabe huyu mpuuzi asije akakuletea majanga

Wanaasema shetani anakuja kwa njia nyingi
Majanga gani tena, sikuhizi hela ina solve kila kitu.

Ukiwanunulia wahuni puli za bange za elf 20 tu ukawaahidi 10/10 wakimaliza kazi mbona anatepeta. Unamsomea rada tu huyo kolo as long as yupo hapa hap mjini.

Mi mtu naemdai hatulii sehemu moja ndio shida.
 
Hiyo hela ni ndogo sana,achana naye kabisa jifanye umekausha tu,Hii dunia ni ndogo sana na malipo ni hapa hapa tu,usitumie hasira au kufanya jambo lolote maana linaweza kukuletea madhara kwasababu ya hasira.......japo msgs zake zinakera ila mpuuze tu,kuna siku ataingia kwenye 18
 
Majanga gani tena, sikuhizi hela ina solve kila kitu.

Ukiwanunulia wahuni puli za bange za elf 20 tu ukawaahidi 10/10 wakimaliza kazi mbona anatepeta. Unamsomea rada tu huyo kolo as long as yupo hapa hap mjini.

Mi mtu naemdai hatulii sehemu moja ndio shida.
Et hatulii sehemu moja[emoji1787][emoji1787] pole mkuu
 
Rafiki yangu yeyote sitaki anikope Wala nimuombe mkopo! Nimesha block na kudelete marafk zangu kwasababu ya hela.

Mmoja ni mwl huko Shinyanga mjini, huyu kaka aisee basi tu namuachia Mungu na anavyojikuta mlokole?

Mwingine huyu anafake sana maisha, afu Hana kitu

mwingine Sasa alifiwa na mumewe, mambo yakaenda vibaya akaomba wee nikawa na mpa si yakuomba!

baadae akaniambia naomba unikopeshe hii ntarudisha, na nikamuuliza una uhakika? akasema ntarudisha ndo mpaka na kesho, nikambrooku
 
Hiyo hela ni ndogo sana,achana naye kabisa jifanye umekausha tu,Hii dunia ni ndogo sana na malipo ni hapa hapa tu,usitumie hasira au kufanya jambo lolote maana linaweza kukuletea madhara kwasababu ya hasira.......japo msgs zake zinakera ila mpuuze tu,kuna siku ataingia kwenye 18
Asante kwa ushauri mkuu[emoji120] unanifaa sana kwa mimi mwenye roho nyepesi
 
Kuna jamaa alinileteaga mzaha kwenye hela yangu na tulikuwa marafiki
Nilivyo mpole hakuamini hatua nilizochukua na kipindi hicho alikuwa anakaa kwao 😄 ela zilichangwa mara moja maana ilikuwa aibu kwa familia
 
Juzi nimetoka kumkopesha mshikaji laki ,nimevosoma huu Uzi naanza kuhisi kama atanizungusha maana daaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Asante kwa ushauri mkuu[emoji120] unanifaa sana kwa mimi mwenye roho nyepesi
Wote tuna hasira,ila kuwa makini usije fanya jambo likakuletea madhara hasi.......tunapoteza vingi sana zaidi ya hiyo box 2 na nusu........we mpotezee trust me akiona upo kimya tu na mnaonana husemi kitu ataanza kujishtukia mwenyewe,maana atakuwa hajui unawaza nini,utampa Psychological torture ya muda wote.
 
mimi kuna fara moja aliniletea Habari kama izo nilimdai pesa yangu zaidi ya kama mwaka ivi zarau kibao nikajifanya kama kumpotezea siku ambayo alingia kwenye 18 zangu mbona alinilipa na ashukuru mungu siku iyo nilikuwa na hasira kichizi alfu nilikuwa ndio nimetoka kununua panga yani nilikuwa na mkata yule jamaa kwa hasira ila mungu ni mwema alinipa ela yangu fasta

Sent from my SC-03J using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaa alinileteaga mzaha kwenye hela yangu na tulikuwa marafiki
Nilivyo mpole hakuamini hatua nilizochukua na kipindi hicho alikuwa anakaa kwao [emoji1] ela zilichangwa mara moja maana ilikuwa aibu kwa familia
Huyu jamaa ni bahati tu sina namba ya mamake maana nilikua nayo sasa juzi baada ya kuona jamaa ananizungusha kucheki namba ya bi mkubwa wake kwenye simu siioni na sjui imetokomelea wap wakati nilikua nayo[emoji848] bahati yake
 
Wote tuna hasira,ila kuwa makini usije fanya jambo likakuletea madhara hasi.......tunapoteza vingi sana zaidi ya hiyo box 2 na nusu........we mpotezee trust me akiona upo kimya tu na mnaonana husemi kitu ataanza kujishtukia mwenyewe,maana atakuwa hajui unawaza nini,utampa Psychological torture ya muda wote.
unahisi huyu jamaa anaweza kupata psychological torture mkuu [emoji848] nmekuelewa sana though [emoji120]

Thanks
 
mimi kuna fara moja aliniletea Habari kama izo nilimdai pesa yangu zaidi ya kama mwaka ivi zarau kibao nikajifanya kama kumpotezea siku ambayo alingia kwenye 18 zangu mbona alinilipa na ashukuru mungu siku iyo nilikuwa na hasira kichizi alfu nilikuwa ndio nimetoka kununua panga yani nilikuwa na mkata yule jamaa kwa hasira ila mungu ni mwema alinipa ela yangu fasta

Sent from my SC-03J using JamiiForums mobile app
Panga tena mkuu[emoji3166] pole sana, ubinadamu kazi
 
Back
Top Bottom