Jinsi ya kumdai rafiki yako hela

Jinsi ya kumdai rafiki yako hela

Inabidi ifike wakati uache hizo huruma zako vinginevyo watu watakusumbua sana. Mm ni mpole sana lkn huu ukorofi watu wa hovyo ndio walinifundisha sababu ukikaa kilege lege wanakuchezea. Weka upole pembeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia sio mpole kias icho madam, nimewah kuwawashia moto mafundi flani ivi wa furniture kipindi nipo mkoa flani kwa njia ya kukodi polisi nais hawatonisahau.

Shida huyu jamaa ni rafiki yangu wa muda mrefu sana ata ndugu zao akiwemo mama yake wananijua namimi ndugu zangu baadhi wanamfahamu ingawa tunakaa mikoa tofauti 🥲
 
Chukua ubani Mashtakhaa
choma unuie " Kama mimi Ditto nguku bendu wa zabanga hii simu Samsung Note 10 niliinunua kwa jasho langu na nmedhurumiwa, ikiwa ni haki yangu ntaipata kama sio haki Inshaallah"

afu potezea
mshukuru Mwenyezi Mungu Allah subhanah wa Taala
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mimi ditto nguku bendu wa zabanga
 
Una ushahidi wa nakala za manunuzi ya simu hiyo??, Shahidi yupo??
Shahidi ni mdogo wangu tu ambae nimetoka kumkatia ticket jana anasafiri leo kwenda mkoani kuna kitu anaenda kutibiwa ila atarudi.

Nakala ya mauziano haipo, au wewe unaweza kuandikishana risiti na rafiki yako kutokana na scenario niliyoeleza apo mkuu🥲
 
Mimi pia sio mpole kias icho madam, nimewah kuwawashia moto mafundi flani ivi wa furniture kipindi nipo mkoa flani kwa njia ya kukodi polisi nais hawatonisahau.

Shida huyu jamaa ni rafiki yangu wa muda mrefu sana ata ndugu zao akiwemo mama yake wananijua namimi ndugu zangu baadhi wanamfahamu ingawa tunakaa mikoa tofauti 🥲
Ukiweka undugu sijui urafiki watakufilisi na ukiishiwa hata hao unaowaita marafiki sijui ndugu kama huna kitu hutawaona. Wewe unawaza urafiki mwenzako hawazi hayo umeona alivyokujibu jeuri kwenye sms zenu? Komaa akulipe asifanye matani kabisa na hela asizozitolea jasho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shahidi ni mdogo wangu tu ambae nimetoka kumkatia ticket jana anasafiri leo kwenda mkoani kuna kitu anaenda kutibiwa ila atarudi.

Nakala ya mauziano haipo, au wewe unaweza kuandikishana risiti na rafiki yako kutokana na scenario niliyoeleza apo mkuu🥲
Huwa simuamin yoyote kwenye pesa, hata roho yangu mwenyewe muda mwingine inanizingua
 
Ukiweka undugu sijui urafiki watakufilisi na ukiishiwa hata hao unaowaita marafiki sijui ndugu kama huna kitu hutawaona. Wewe unawaza urafiki mwenzako hawazi hayo umeona alivyokujibu ujeuri kwenye sms zenu? Komaa akulipe asifanye matani kabisa na hela asizozitolea jasho. Ul

Sent using Jamii Forums mobile app
Madam hizi ndo akili kubwa tunazozitaka , never have expectation towards humans
 
Mkuu pole sana aisee nimejifunza kutoamini Rafiki wa karibu wala ndugu.

Kwa mimi nilishawahi kukosana na rafiki yangu wa kiti cha kwanza kabisa, kisa ilikua ni madaiano kama wewe ivo ivo, sema alileta pigo za ki-friendly mpaka kwenye busness nikaamua kumtolea uvivu kila mtu ale hamsini zake sahivi Anajuta uko aliko.

Marafiki na ndugu ni wakuchunga sana kwenye biashara uwa Wanaji-less sana aisee
 
Nenda na na polisi

Huyo mshenzi kashakudharau.

Huyo sio rafiki usimuute rafiki Hana hata chembe ya urafiki usijipendekeze kwakwe.

Inakera sana mzee fanya haraka.

Wachukue polisi wawili wapooze hata na kilo wewe ubaki na 150k
 
Nilikua na kisamsung J7 pro nikakiangusha kikavujia wino nikawaza kubadili kioo nikaona hapana. Kuna fundi simu namjua miaka mingi namuamin nikampa ile simu nikamuambia nitafutie mteja wewe kama utabadili kioo ama utauza kama skrepa utajua wewe ila utanipa kiasi kadhaa. Siku zinazienda nikagundua kabadili kioo anaitumia yeye ile simu nikakausha. Muda unaenda jamaa kimya mtaan kwangu kuna bro siku akaniambia anaitaka ile simu nimuachie, nikamchek jamaa bwana siku zinakata kama simu haiuziki nipe hivyo hivyo kuna mtu anaitaka akaanzaga kutojibu sms wala simu.

Badae akaja akaniblock yaan simu yangu alafu anaitumia hyo hyo kuniblock nikasema hamna noma. Kuna siku nilitimba ofisin kwake nadhani alinifahamu vizuri nilikiwasha nilimjazia nzi hadi alianza kulia nikamuuliza unajua wap nmetoa hela ya kununua hicho kimeo alafu mwanaume mzma unavimba unatumia simu yangu na hela kutoa hutak, kurudisha simu hutaki mbona alinilipa. Hatuongei hadi leo nampitaga kama kisiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni muda gani umepita toka umjazie watu?
 
Kesi iyo..

Mi nishaachana na madogo wapumbavu kama hao wengine eti anakuzungusha ikipita mwaka anahisi umesahau anakuja Tena kwa shida ..Hivi karibu jamaa jirani nimempa 30k achukue ishu fulani maana anauza chips aliniambia trh 20 December atanipa ila mpaka leo hajanilipa na Yale mawasiliano ya awali kakata ..

Dunia Ina tatizo hili la kutokuwa muaminifu sijui kwa nn..
Kopa chips kuku 8
 
Halafu kanaandika kipumbavu sana
Chukua hatua kali. Mletee noma, unakuaje na urafiki na mtu anaandika sms namna hiyo? Hiyo ni indication tosha kuwa ni kamtu kapumbavu.
Mtoto mdogo anakusuambaje?
Na wewe zembe..nakupa za uso.
Sio rahisi hivyo kama unavyoandika hapa...wewe ungefanyaje? Mtu anajibu kwa sms unampiga humo kwny simu?? Je atamkuta mahali anapotarajia au anapoishi? Hakuna kitu kigumu kama kudai...
 
Naomba basi niwe rafiki Yako na Mimi ninufaike vingi maana wewe ni mpole
Hakika mimi ni mpole na nina huruma sana na sio kuwa najisifia, suala la kuchukua maamuzi magumu lilishanishinda ila naona linaniponza inabidi nilitaftie tiba.

Kuna uzi nilipost kule mmu kuwa natafuta rafiki wa kike wote waliokuja pm hawakukidhi vigezo nilivokua naitaji. But karibu, njo ujinufaishe na upole wangu Unique Flower [emoji28]
 
Back
Top Bottom