Dawa ya kiburi ni jeuri, mtu aliyekukosea halafu akuletee kiburi hupaswi kumsaamehe atskuzoeaaWeka huruma kwenye parking zone.
Kuna mahala pa ku-apply huruma
Hapo sio mahala pake.
Mkuu binafsi nina degree ya sheria. Izi mambo za kumpeleka mdaiwa wako mahakamani ni kupoteza pesa na muda bora kudeal nae kitaa zaidi ili tufundishane maisha yanavotakiwa kuwa maana biashara ilifanyika kirafiki sana.. no receipt wala kielelezo chochote cha kuashiria kuwa tulifanya biashara, just three of us[emoji120]Fata njia sahihi upate haki yako, ikiwezekana mpeleke kwenye vyombo vya Sheria, make sure una risiti maana Hawa polisi nao wakipata loophole watakusumbua!! Usitumie ubabe huyu mpuuzi asije akakuletea majanga
Wanaasema shetani anakuja kwa njia nyingi
I'm 24Una miaka mingapi?
Unafuta ushahidi
Mzee nenda kwa mtaalamu vijana wengi sana wauza simu ni washirikiana hawaogopi madeni wala kudhurumu wengi sana kkoo ndio wapo ivyo wanamiliki IST kwa kudhurumu watu ,yaani ata ukimdai utakuwa na nguvu ya kumdai ata ukipajua anapokaa utaona uzito najua ayo mazingira ya mjini yalivyo
I'm 24
I did business with someone i know in and out not a stranger.
Sikuexpect kama tungefika uku ingawa pia huo ushahidi sion umuhimu wake maana sina mpango wa kumpeleka kwenye vyombo vya sheria zaidi ya kumalizana nae kigumugumu jinsi anavyotaka.. dawa ya moto ni moto[emoji120]
Kuna jamaa wapo wengi wanaroga wadeni wao yaani live bila chengaIlikutokea kwa dada mmoja hivi aisee kila nikitaka kumfata napotezea,nikienda inatokea mvua kubwa balaa lazima kitokee kitu siku moja nikasema simuachi hapo umepita mwaka nikaenda mshtaki police,akaanza kunizunguka kwa mapolice lakin alirudisha pesa na police alokuwa anashirkiana nae nikzinguana nae sitaki ajihusishe na hiyo alianza kuwa upande wa nnaemdai,nikasema huyu police hanijui nikawa naenda kituon simsalimii nampita naenda kwa mkubwa wake, nililipwa,kama kitu haki yako pambana utapata utapata
Siku nalipwa huyo police ananiambia tuachie ya maji nilimkata jicho halaf nikaondoka
Ila hii nchi kuna watu wanaudhi ukiwa na bastola unaua
Kuna jamaa wapo wengi wanaroga wadeni wao yaani live bila chenga
Just play safeMkuu binafsi nina degree ya sheria. Izi mambo za kumpeleka mdaiwa wako mahakamani ni kupoteza pesa na muda bora kudeal nae kitaa zaidi ili tufundishane maisha yanavotakiwa kuwa maana biashara ilifanyika kirafiki sana.. no receipt wala kielelezo chochote cha kuashiria kuwa tulifanya biashara, just three of us[emoji120]
Aisee, unaweza kuniunganisha na hao wahuni maana naona huu ushauri umekaa unyama sanaLipa wahuni wamnanihii huku wanarekodi kwenye hiyo hiyo simu....atakulipa tu hela yako na gharama zote za usumbufu[emoji205]
Ila unaonekana umejawa huruma sjui km utawezana nae, aisee shotii ya 250k ni kubwaI'm 24
I did business with someone i know in and out not a stranger.
Sikuexpect kama tungefika uku ingawa pia huo ushahidi sion umuhimu wake maana sina mpango wa kumpeleka kwenye vyombo vya sheria zaidi ya kumalizana nae kigumugumu jinsi anavyotaka.. dawa ya moto ni moto[emoji120]
Kkoo wengi wanaroga tu uwo ndio ukweliAisee mbona mimi ni muuza simu na sijawah kumzurumu mtu hela yake au kwa kuwa sifanyi delivery ndo maana naepukana na iyo dhambi [emoji22]
Yaan mim nikichukia kitu nakupita tu hata uwe nani sijali na nilimuambia yule police ukinifatilia tutafika mbali chezea hao hao sio mim mbele ya police wenzie,nikawa naenda pale pale simsalimii kama simuoni kabisa na hapo sina nnaemjua wala chá nani ila naamin tungefika mbali mim kwenye haki yangu unaweza kuniua nakuwaga mvumlivu ila nakuwa napiga mahesabu usiku kucha siku nikiamua weeeImebidi sasa nicheke
Sikuagi na uoga kwa mtu ambae sipo attached nae, bado nafikiria jinsi tulikuwa marafiki kwa muda mrefu almost 7yrs af ndo mwisho wetu ndo unaenda kuwa ivi kweli🥲Unaoneka muoga acha uoga kwenye haki Usikubali mtu akuonee kabisa kodi hata baunsa mbili kabebe tv na sofa sepa
Kodi polisi mpe hata 100k chukua simu yako na dogo usimrudishie hata sh. 100Police tutazungushana mkuu, mi naona bora nikodi polisi nimlipe 50k nikachukue simu yangu kila mtu ale hamsini zake
Naumia una roho ngumu kunizidi.Yaan mim nikichukia kitu nakupita tu hata uwe nani sijali na nilimuambia yule police ukinifatilia tutafika mbali chezea hao hao sio mim mbele ya police wenzie,nikawa naenda pale pale simsalimii kama simuoni kabisa na hapo sina nnaemjua wala chá nani ila naamin tungefika mbali mim kwenye haki yangu unaweza kuniua nakuwaga mvumlivu ila nakuwa napiga mahesabu usiku kucha siku nikiamua weee