Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 1,007
- 1,511
Kuna namna fulan unakuta Ww unamtrust sana mtu fulan. Kumbe si mwema na huenda atajakuumiza sana. Sasa kwa vile kuna Malaika wa Mungu na utendaji wake ataleta kisa chochote ili akuoneshe ass yake. Na uone the Real person in him sasa uking'ang'ana nae huko mbele usije kumlaumu Mungu wala shetani. Hiyo nayo ipo. Wakat mwingne tunatakiwa kupoteza vyetu vya thaman kwa usalama wetu.So sad[emoji22] ila tushapitia ups and downs pamoja mpaka kuja kuitana marafiki sio mchezo.
We'd known each other way back 2016 till now[emoji22]