YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Kwa mwanasiasa iwe upinzani au chama tawala ukiitwa kuhojiwa BBC Hard talk unatakiwa ujiandae na ujue kuwa maswali utakayoulizwa yameandaliwa na jopo la watu wengi wakiwemo donors wa chama chako au serikali na wabobezi kwenye siasa na taaluma yako ambao hutaka kukujua hasa undani wako na wa chama chako kupata undani kwa ajili ya maamuzi yao katika mambo.Mwandishi anawakilisha tu yale maswali .
Maswali hujikita Kwenye udhaifu wa kwako na wa chama chako sio wa mwingine au chama kingine . Uwe tayari kwa hilo maswali huulizwa kimtego sana mfano wewe unatuhumu serikali ya Magufuli uko opposition na ni mwanasheria Hard talk watakuhoji do you have legal evidence kwenye tuhuma zako wewe au chama chako?
Ukiwa huna ukajikanyaga anakuacha anaenda swali lingine lakini Meseji send kwa waliomtuma kuwa huyu mtu na chama chake hawana legal evidence pamoja na sifa zote wanazojitia kuwa nazo na hawajachukua any legal steps.Hivyo ukienda hojiwa jiandae barabara maeneo yako ya udhaifu wako binafsi na wa chama chako au serikali kama ni kiongozi wa serikali.
Ujue hutahojiwa kuhusu udhaifu wa mwingine au chama kingine nje ya cha kwako watajikita kuhoji udhaifu wako na chama chako.Hili hubeba asilimia 90 ya mahojiano. Asilimia kumi inayobaki ni ya kukihoji maswali laini ili u relax yaweza asilimia tano yakawa mwanzo wa mahojiano na asilimia tano mwisho wa mahojiano ili walau upumue mnapoagana .Pili jizatiti na takwimu za kuaminika sio newspaper cuttings au taarifa za jamii forums.
Sababu wao huwa na takwimu toka credible sources za kimataifa. Tatu wenzetu mtu akifanya vizuri hata akiwa opponent wako wana tabia ya Ya ku appreciate hilo zuri la opponent wako unajibu yes kuna mazuri kafanya unatoa mifano mizuri miwili mitatu halafu kama una reservation unasema lakini angefanya vizuri zaidi angefanya moja, mbili tatu.
Usiseme aah hamna kitu alichofanya!!!!!! Mwandishi ataruka haraka kwenda swali lingine kuwa meseji send kuna mema yapo lakini huyu ninayemhoji hajui kitu hayuko informed ni mweupe kichwani!!!
Maswali hujikita Kwenye udhaifu wa kwako na wa chama chako sio wa mwingine au chama kingine . Uwe tayari kwa hilo maswali huulizwa kimtego sana mfano wewe unatuhumu serikali ya Magufuli uko opposition na ni mwanasheria Hard talk watakuhoji do you have legal evidence kwenye tuhuma zako wewe au chama chako?
Ukiwa huna ukajikanyaga anakuacha anaenda swali lingine lakini Meseji send kwa waliomtuma kuwa huyu mtu na chama chake hawana legal evidence pamoja na sifa zote wanazojitia kuwa nazo na hawajachukua any legal steps.Hivyo ukienda hojiwa jiandae barabara maeneo yako ya udhaifu wako binafsi na wa chama chako au serikali kama ni kiongozi wa serikali.
Ujue hutahojiwa kuhusu udhaifu wa mwingine au chama kingine nje ya cha kwako watajikita kuhoji udhaifu wako na chama chako.Hili hubeba asilimia 90 ya mahojiano. Asilimia kumi inayobaki ni ya kukihoji maswali laini ili u relax yaweza asilimia tano yakawa mwanzo wa mahojiano na asilimia tano mwisho wa mahojiano ili walau upumue mnapoagana .Pili jizatiti na takwimu za kuaminika sio newspaper cuttings au taarifa za jamii forums.
Sababu wao huwa na takwimu toka credible sources za kimataifa. Tatu wenzetu mtu akifanya vizuri hata akiwa opponent wako wana tabia ya Ya ku appreciate hilo zuri la opponent wako unajibu yes kuna mazuri kafanya unatoa mifano mizuri miwili mitatu halafu kama una reservation unasema lakini angefanya vizuri zaidi angefanya moja, mbili tatu.
Usiseme aah hamna kitu alichofanya!!!!!! Mwandishi ataruka haraka kwenda swali lingine kuwa meseji send kuna mema yapo lakini huyu ninayemhoji hajui kitu hayuko informed ni mweupe kichwani!!!