Jinsi ya kujiandaa kujibu maswali ya BBC Hard talk kwa wanasiasa

Nakujibu mimi..hakuna mwanasiasa aliyezuiliwa kufanya mikutano..na wanasiasa wote wanafanya kazi na mikutano kwenye majimbo yao ya uchaguzi..kilichozuiliwa ni tabia ya wanasiasa kutoka eneo moja kwenda jingine ambapo ni kituo cha kazi cha mwingine..lengo ni kuruhusu mazingira ya utendaji ya mwingine na pia kuzuia vurugu..

Hatua za ununuzi wa ndege zilipitia michakato halali..bungeni kuna kamati ya bajeti na miundi mbinu..hizo zilipitisha..si lazima zipitishwe kwa kelele

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu umejibu vizuri sana, naomba unijuze jimbo ambalo Vicent Mashinji wa Chadema anaweza kufanya mkutano na ni jimbo lake pasipokukamatwa na police maana yeye kutwa kukamatwa ila pole pole anadunda tu na anazunguka nchi nzima pamoja na doctor Bashiru.

Vivyo hivyo naomba nitajie jimbo La pole pole au doctor Bashiru ambalo kwao wote ni haki yao na ni majimbo yao ya kufanyia siasa.

Lingine kila mwanasiasa anatakiwa afanye siasa kwenye jimbo lake ndicho katika katiba yetu ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inavyotuelekeza au ni matakwa tu ya mtu??

Mkuu nilikuwa sijui kuwa kamati husika inaweza tunga sheria na kuipitisha bila kujadiliwa na wabunge wote wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania na ikawa sheria .

Nimesema hivyo kutokana na kamati yako ya bunge iliyopitisha bajeti ya ujenzi wa uwanja wa chato na hiyo hiyo kamati kuidhinisha ununuzi wa ndege kwa malipo ya fedha taslimu.
 
Hivi kwa mfano Jiwe akiitwa pale akaulizwa kwa nini serikali yake haichunguzi suala la kushambuliwa Lissu atajibuje?
Majibu ni kama ifuatavyo. Jalada la uchunguzi limefunguliwa na kusubiri Lisu na Dereva wake waje kutoa maelezo kadhaa ya namna walivyowaona washambuliaji ili wataalamu wetu wa kuchora watuoneshe mfano wa taswira zao. Hapo ni kama hawakufunika sura. Kama walifunika sura mbinu nyingine zitatumika hasa baada ya mahojiano na Lisu na Dereva wake.
Tumechelewa kuendelea na uchunguzi huu hasa viongozi wa chadema katumia tukio hili kama mtaji wa kisiasa na kuvitenga vyombo vya serikali kuvipa ushirikiano. Mfano Dereva alikatazwa kuja kutoa maelezo polisi.
 
Yaani
Kwahiyo una maanisha Lisu alichemka mbaya
kachemka mnooo. Anadhani hiko chombo ni cha blah blah. Mfano mdogo tu Chombo Creduble kama kili ujue kuwa kina unformation karibu 99% ya nchi yako! Sasa eti unaulizwa una zuri lolote unabaki unajiumauma amejiangusha kwa kweli. Hata kama mbaya wako kuna zuri japo moja kati ya mia. Hapo ndio reliability yako inapojionyesha!
 
Naye alivyoona mvua ya maswali masikini angejijibia tu ni PERSONAL. Nimeipenda hii!
Alishawekewa swali mtego Na mwandishi Mwanzoni kuwa wewe Lisu kivyeo ni Nani ikawa Lisu anatikisa kichwa kukubali Na akaongezea kujieleza kuwa yeye ni Nani kivyeo kumbe mwenzie mwandishi anamvizia asije sema najibu haya Kama Tundu Lisu binafsi.Mwandishi alishamkaba kabali mapema asije ruka mbele kusema najibu kibinafsi Kama Tundu Lisu!!! Yale mahojiano mwandishi aliyemhoji alikuwa very professional wakati wote wa mahojiano wakati Tundu Lisu mahojiano yote alikuwa very layman sio learned brother.Mwandishi throughout the interview alikuwa professional Na kuwa consistent throughout kwenye professional wakati Tundu Lisu alikuwa so layman hakuwa consistent kwenye professional.Akiulizwa swali professionaly anajibu ki layman
 
Hili hubeba asilimia 90 ya mahojiano. Asilimia kumi inayobaki ni ya kukihoji maswali laini ili u relax yaweza asilimia tano yakawa mwanzo wa mahojiano na asilimia tano mwisho wa mahojiano ili walau upumue mnapoagana .
Hiki haswaa ndio alifanyiwa Mh. B.W . Mkapa akihojiwa na Tim Sebastian mwaka 2002
>> Benjamin Mkapa on BBC HardTalk (Video) - JamiiForums
Video iliyokamili nikiipata nitaiweka
 
Yaani

kachemka mnooo. Anadhani hiko chombo ni cha blah blah. Mfano mdogo tu Chombo Creduble kama kili ujue kuwa kina unformation karibu 99% ya nchi yako! Sasa eti unaulizwa una zuri lolote unabaki unajiumauma amejiangusha kwa kweli. Hata kama mbaya wako kuna zuri japo moja kati ya mia. Hapo ndio reliability yako inapojionyesha!
Hilo kosa Lisu alilifanya hata alipohojiwa BBC Swahili na mwandishi wa BBC Swahili Zuhura Yunus yaani Lisu alipoulizwa kuhusu mafanikio ya serikali ya Magufuli alichojibu ni aibu hata mwehu hawezi jibu vile hata mtoto wa shule ya msingi hawezi toa jibu la kitoto Kama lile.
 
Mwandishi asingeweza mhurumia swali la kwanza alimuuliza Hali yako kiafya sasa hivi ikoje? Tundu Lisu akajibu I am very well yaani mimi mzima Kabisa.Mwandishi alihoji hivyo kujiridhisha kuwa anaongea na mtu mzima na mwenye akili timamu asije mtwanga swali zito akaanguka mbele Yake.Sasa angemhurumia vipi mtu ambaye ni very well? Ndio maana alimkomalia barabara angesema naumwa angemuuliza kilichokuleta hapa nini si unatakiwa uwe hospital unatibiwa?

..hapana.

..TL alisema he is "very well" kulinganisha na hali aliyokuwa nayo Sept 7, 2017.

..Sijawahi kusikia mtu ameulizwa, how are you, halafu akajibu " i am very sick" au " i am not fine/well."

..Kitu ambacho watazamaji watakikumbuka ni jibu la TL kwamba yeye ni KIONGOZI wa Bunge na ALISHAMBULIWA ktk eneo ambalo lina ULINZI around the clock.

..Wenzetu wanajali sana MAISHA/UHAI wa mtu. Sasa kwa statement ile ya TL watajaribu kumfananisha na viongozi wa bunge lao. Halafu watajiuliza kama inawezekana kumshambulia kiongozi huyo kirahisi-rahisi. Watajiuliza ilikuwaje ULINZI ukakosekana eneo ambalo kwa kawaida lina ulinzi mzuri.

..Kuna uwezekano mkubwa kwamba watazamaji wanayaamini madai ya TL kuhusu ukatili mwingine ulioutaja, kwa mfano wananchi 380 inaosemekana wamepotea maeneo ya Mkiru. Na hiyo inatokana na CREDIBILITY ya TL kutokana na kuwa mhanga wa shambulizi la kikatili.

..Pia kuna swali ambalo TL alimuuliza muongoza kipindi. Sidhani kama TL alikuwa amejiandaa kuuliza swali lile, lakini ni swali ambalo linagusa VALUES za watazamaji walio wengi wa HardTalk.

..Swali lenyewe ni kama rekodi ya Raisi Magufuli inahalalisha UKATILI na ukiukwaji wa haki za binaadamu ambao TL alidai umeongezeka nchini.

..Kuhusu Raisi Magufuli kuyabana makampuni ya madini, sijui kama ulimsikia TL akidai kuwa yeye alianza kutetea rasilimali zetu muda mrefu kabla Magufuli hajazinduka na kuchukua hatua.
 
Hilo kosa Lisu alilifanya hata alipohojiwa BBC Swahili na mwandishi wa BBC Swahili Zuhura Yunus yaani Lisu alipoulizwa kuhusu mafanikio ya serikali ya Magufuli alichojibu ni aibu hata mwehu hawezi jibu vile hata mtoto wa shule ya msingi hawezi toa jibu la kitoto Kama lile.

..Duh!!

..kama unamlinganisha TL na mwehu basi huwezi kuona jambo lolote zuri ktk matamshi au matendo yake.
 
..hapana.

..TL alisema he is "very well" kulinganisha na hali aliyokuwa nayo Sept 7, 2017.

..Sijawahi kusikia mtu ameulizwa, how are you, halafu akajibu " i am very sick" au " i am not fine/well."

..Kitu ambacho watazamaji watakikumbuka ni jibu la TL kwamba yeye ni KIONGOZI wa Bunge na ALISHAMBULIWA ktk eneo ambalo lina ULINZI around the clock.

..Wenzetu wanajali sana MAISHA/UHAI wa mtu. Sasa kwa statement ile ya TL watajaribu kumfananisha na viongozi wa bunge lao. Halafu watajiuliza kama inawezekana kumshambulia kiongozi huyo kirahisi-rahisi. Watajiuliza ilikuwaje ULINZI ukakosekana eneo ambalo kwa kawaida lina ulinzi mzuri.

..Kuna uwezekano mkubwa kwamba watazamaji wanayaamini madai ya TL kuhusu ukatili mwingine ulioutaja, kwa mfano wananchi 380 inaosemekana wamepotea maeneo ya Mkiru. Na hiyo inatokana na CREDIBILITY ya TL kutokana na kuwa mhanga wa shambulizi la kikatili.

..Pia kuna swali ambalo TL alimuuliza muongoza kipindi. Sidhani kama TL alikuwa amejiandaa kuuliza swali lile, lakini ni swali ambalo linagusa VALUES za watazamaji walio wengi wa HardTalk.

..Swali lenyewe ni kama rekodi ya Raisi Magufuli inahalalisha UKATILI na ukiukwaji wa haki za binaadamu ambao TL alidai umeongezeka nchini.

..Kuhusu Raisi Magufuli kuyabana makampuni ya madini, sijui kama ulimsikia TL akidai kuwa yeye alianza kutetea rasilimali zetu muda mrefu kabla Magufuli hajazinduka na kuchukua hatua.
Wazungu Wana data sana je aliyabana makampuni ya madini Kama mzalendo au aliyabana akitaka wampe rushwa anyamaze? Mbona Magufuli alipoamua kuyabana yalipe Tundu Lisu aligeuka ghafla kusema hayatakiwi kulipa mikataba iliyokuwepo ndio mibovu? Akatishia kuwa wataipeleka nchi mahakama ya MIGA? Nini kilimbadilisha ghafla? Kwa nini hakuungana Na Magufuli kusema tupambane tuendelee kawa upande wa kuwatetea kuwa waendelee Na utaratibu wa kuiba uliokuwepo? makampuni ya madini had Leo hayajatupeleka MIGA ila yeye ndiye alisimama kututishia nyau wakati wenye kampuni za madini hawatutishii nyau? Lisu mla rushwa mkubwa ndio maana Mwandishi alimhoji swali la mtego kuwa Magufuli kapambana Na wezi wa madini what about you? Lile lilikuwa provocative question kuwa you are not what you pretend to be kibaka wewe mpiga yowe for inviting investors kukuhonga you shut up.Natamani Na Zitto Kabwe aende BBC hard talk wakamwonyeshe cha mtema Kuni Kama Lisu Wana takwimu zote za wabunge wapiga yowe mambo ya madini lakini kazi yao ni kuwinda rushwa tu
 
Hilo kosa Lisu alilifanya hata alipohojiwa BBC Swahili na mwandishi wa BBC Swahili Zuhura Yunus yaani Lisu alipoulizwa kuhusu mafanikio ya serikali ya Magufuli alichojibu ni aibu hata mwehu hawezi jibu vile hata mtoto wa shule ya msingi hawezi toa jibu la kitoto Kama lile.
Wewe subiri zamu yako utaenda kumsifia, yaani utupe watu kwenye viroba, ujiamulie wewe mwenyewe kuchukua hela za umma bila idhini ya bunge, akupige risasi 38 karibia ya kufa, then ununue ndege halafu usifiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom