everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,627
- 15,017
Bado mtani
Ngoja nijiongeze na mimi
Nisaidie mtani nimechemka...
Mtani Ed n Edd nEddy nimepigana na mimi mpaka nimeweza,Mimi mbishi kumbeee!!!!
Last edited by a moderator:
Bado mtani
Ngoja nijiongeze na mimi
Nisaidie mtani nimechemka...
Kukata maneno vipi?
Usijali nimeweza....
Tayari mtanibado tu mtani?
subira imevuta heri mtaniTuvute subira tu
najaribu mtani na hiiila kama rangi tumeweza kwanini hili litushinde mtani?
Mtani Ed n Edd nEddy nimepigana na mimi mpaka nimeweza,
Mimi mbishi kumbeee!!!!
mtani nimesumbuka lakini acha,nimefanya editing mpaka basiNingeshangaa mtani kama ungeshindwa
Hongera sana,kuna mtu aliwahi nipa tuition ya hii kitu humu humu ndani,huwezi amini nilitoka kapa siku nzima mpaka nikaona aibu,leo wewe umenipa hamasa sana nikasikia uwivu ikabidi za kuambiwa nichanganye na zangu hatimaye nikaweza.Hahaaa Mimi jana ikabidi nijipe ka-homework na kimchina changu
Anza kuweka alama hii @, ikifuatiwa na jina la unae taka kum quote pasipo kuacha nafasi. Utakua umeweza.
Watu watwangana makofi jamiiforum kisa kujifunza,
bofya hapa Everlenk azichapa na Ed n Edd n Eddy kwa kutoelewa darasani.