Jinsi ya ku-highlight sentensi au maneno kwa rangi humu JamiiForums

Kwanza nikushukuru KakaKiiza kwa uzi wako jinsi ya ku quote majina hapa JF. Sasa kuna hili jingine la ku highlight kwa rangi mbalimbali maneno kwenye post ambayo ipo quoted. Hili nalo lipoje wakuu?
Tupeni maujuzi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom