Mwanibombo
Member
- Mar 25, 2023
- 61
- 84
Sina muda mrefu toka nimejiunga humu, kitu nilichogundua humu Jf kuna misamiati inayotumika humu inafurahisha sana ambayo kuisikia sehemu nyingne ni kazi.
Mfano 'kuchakata mbususu', hili neno kwa mara ya kwanza nimeliona humu, na kuna ile mtu akiposti uongo watu wanasema "Chai", nani mwanzilishi wa hayo maneno?
Neno gani jingine ulilokutana nalo humu kwa mara ya kwanza likakufurahisha?
Mfano 'kuchakata mbususu', hili neno kwa mara ya kwanza nimeliona humu, na kuna ile mtu akiposti uongo watu wanasema "Chai", nani mwanzilishi wa hayo maneno?
Neno gani jingine ulilokutana nalo humu kwa mara ya kwanza likakufurahisha?