Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

hahaa hata hiyo ya kutumiwa muamala wa 100k ...halafu mtumaji wala haulizi kama " Umepata "?
Usipouliza afu ikaenda kwenye namba nyingine si utatuma ujumbe hiyo hela itume kwenye namba hii jina litatokea flani afu utaonekana tapeli
 
Usipouliza afu ikaenda kwenye namba nyingine si utatuma ujumbe hiyo hela itume kwenye namba hii jina litatokea flani afu utaonekana tapeli
Yaani " mpaka unatuma unakuwa na uhakika " wa namba ambazo " umezitumia huo muamala "... au namba 1 ya weza kuwa yatumiwa na watu wawili mkuu
 
Back
Top Bottom