Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,403
Nyie mnaonekana mnajibeba sana...siku hizi kila mwanamke anapiga picha tako lake, sura waala, hata km mbovu freshKwa kuwa sisi ni kizazi cha kina Chief Mkwawa au?
Nyie mnaonekana mnajibeba sana...siku hizi kila mwanamke anapiga picha tako lake, sura waala, hata km mbovu freshKwa kuwa sisi ni kizazi cha kina Chief Mkwawa au?
Ndio mkuu lete bagia, wapo watakaokula, mi nletee konyagi za kupimaHvi mnadiscuss nn hapa
Hivi mnaonaje nikianzisha biashara ya bagia hapa ...
Naona mpo wengi
Mkuu kwahiyo nije kwa gia gani, ndio najiandaa hapa ili nikutokeeWazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
Vya unaa au nini?
Huyo ukimzoea hakupi shida ndio alivyouna vichembechembe....
imebak gongo tuu ..utatumiaNdio mkuu lete bagia, wapo watakaokula, mi nletee konyagi za kupima
Hili ndo linafanana na zile kesi flani za bahati nasibu, dem yupo mkoa anataka kuja geto umtumie nauli, wee hadi niende kwanza kwao ndo safari ijayo atakujaYaani " mpaka unatuma unakuwa na uhakika " wa namba ambazo " umezitumia huo muamala "... au namba 1 ya weza kuwa yatumiwa na watu wawili mkuu
nchuklie na mm smirof x ya kupima!Ndio mkuu lete bagia, wapo watakaokula, mi nletee konyagi za kupima
Story imeishia kati mkuu, malizia basi..... Baada ya kupokea....hahhahha eve leo nakugawa rasmi.... xmas nilitumiwa wine 3 dadeq!kwa njia hyo hyo!jimiminia weeeee!dadeq!
siku nyingne katokea jamaa ...nikamwambia sijafika job usafiri leo sina!why mamy!nikamwambia ah bima imeisha!naogopa trafk...hela ya bima hyoooo!ila hz technique waanweza wale wakaka age fulan!safiiiii!
nikanywaStory imeishia kati mkuu, malizia basi..... Baada ya kupokea....
Hiyo hapana mkuu, labda ile first grediimebak gongo tuu ..utatumia
EwaaahNaona matunda yameshaanza.
Ukiona hivi hadi najipanga kuajiri mtu awe ananisaidia kujibu
kidogo hiyo inaweza mshtua MTUhahaa hata hiyo ya kutumiwa muamala wa 100k ...halafu mtumaji wala haulizi kama " Umepata "?
Kuja na gia namba 3, hapo sichomokiMkuu kwahiyo nije kwa gia gani, ndio najiandaa hapa ili nikutokee
Ile xtra smooth tamu km sprite iliyowekwa ndimu kwa mbaali,nchuklie na mm smirof x ya kupima!
Nmemaanisha PambaHapo kwenye pmb ulimaanisha pumbu au pombe?
Anhaaa sawa.Nmemaanisha Pamba
Bora nikatandike jamvi meridian naweza turbo huku hapanaInahitajika approach nzuri hata kama mtu ni broke a.s.s sio kuja vuuuuu kama kibajaji
Kutongoza mtandaoni means umekubali kubet hapo ni mawili KULA au KULIWA!!!

Itakua hukuonesha ushirikiano mi nna ratiba ya wine kabisa ha ha haMi hanipi tena siku hizi sijui memfanyaje.
Ukipata turbo tuchekiane basi mtu wanguBora nikatandike jamvi meridian naweza turbo huku hapana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()