Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,403
Mh mi nshavuka miaka 18 mkuu, hizo unaniambia ni series za kikoreaMm nakula mihela tu namkimbia wala hanikuli
Mh mi nshavuka miaka 18 mkuu, hizo unaniambia ni series za kikoreaMm nakula mihela tu namkimbia wala hanikuli
Nishamuita kaka angu MshanaWajeee tu waiteeee watag itapendeza zaidiii
Hapo kwenye pmb ulimaanisha pumbu au pombe?Unazunguuuuuka....wakati unaweza tuma meseji moja tu ikakutambulisha we ni nani, upo wapi, unahitaji nini. Tena ukivizia sikukuu huyo mrembo amekwisha
"Hello miss, uko poa vipi maandalizi ya sikukuu....nmekuandalia japo visenti upate wyne sasa utapataje"
Sie wapenda hela lazma vinyweleo visimame, halafu hivo visenti viwe kuanzia laki koh koh sijui nimtag kaka mwenye hii technique!!!
Hey ladies vikware vitacopy vije kuapply msivipe namba havina kitu vimebeba pmb tu.
Huyo hata bureee nampa ananikula tani yakeeeNishamuita kaka angu Mshana
una vichembechembe....Mada imepamba moto,safi sana
Basi mmefanana halafu ukitegemea Id yako mpya ila unaandika Kama una miezi sita au mwaka vile plus Una mwandiko wa Mbiti kabisaaaaa. Akirudi atakuta twin wake hukusasa mbna sielew!kuna 1 amekuja pm akadai mm ni me nimekuja na id mpya!nikamwabia ili iwaje!sina id 2 mungu shahid my dear!ht huyo mtu mm simfaham...!
Tutuma zetuHuu ushindani ndo naopendaga, sura za dem zetu na sura zenu, haya wakuu anzeni![]()
Wewe unanijua mimi vizuri.Ewaaaaa!!!!!! Basi huyo awe danga tuu hamna namna.
hahaaah so ili kukushawishi ndo lazima muamala uhusike...but ur point is notedUkweli hata Mimi sitaki salamu za kila dakika kushindishana pm tu. Hao wanaotuvutia tunakuaga tumeshawaona huku na sisi hivyo akija pm inakua rahisi. Sasa wewe sijawahi ona Id yako kabisa utanishawishi vipi nikeshe pm na wewe?
Hahahahaa.. Chezea kakaHuyo hata bureee nampa ananikula tani yakeee
Basi mmefanana halafu ukitegemea Id yako mpya ila unaandika Kama una miezi sita au mwaka vile plus Una mwandiko wa Mbiti kabisaaaaa. Akirudi atakuta twin wake huku






Vya unaa au nini?una vichembechembe....
Usisahau max pia wa humu wapoooHahahahaa.. Chezea kaka
Tumeni basi, nan anajikubali aanzeTutuma zetu
Muamala ukihusika unajiuliza huyu nani iweje anitumie hela kipindi hili cha anko Magu. Unakua mpole tu hata akija na salamu zakehahaaah so ili kukushawishi ndo lazima muamala uhusike...but ur point is noted
Duuh najuta kwa kweli. Haya sumbai njoo mchukue huyo atoe fujo zake huku.Nakazia. Nikiwa kama matron wa harusi yenu.


Basi mmefanana halafu ukitegemea Id yako mpya ila unaandika Kama una miezi sita au mwaka vile plus Una mwandiko wa Mbiti kabisaaaaa. Akirudi atakuta twin wake huku