Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Hili ndo linafanana na zile kesi flani za bahati nasibu, dem yupo mkoa anataka kuja geto umtumie nauli, wee hadi niende kwanza kwao ndo safari ijayo atakuja
hahaa " issue kama hizo huwa hazitaki pupa chief "... yataka mzoeane kiasi", huku awali ukiwa wajifanya", una pretend kuwa huna nia ovu ya kumuomba muhusika papuchi"... ndio maana Evelyn " akasema" huwa inafanywa",na wanaume" ambao umri

wao umesonga",na wale wenye kipato cha kati" Yaani wao kupoteza 50k kwa kuhonga hela ya lunch hawawazi" hata ikitokea" wakanyimwa chiu' hawajutii " sababu uchumi una ruhusu"
 
hahaa " issue kama hizo huwa hazitaki pupa chief "... yataka mzoeane kiasi", huku awali ukiwa wajifanya", una pretend kuwa huna nia ovu ya kumuomba muhusika papuchi"... ndio maana Evelyn " akasema" huwa inafanywa",na wanaume" ambao umri

wao umesonga",na wale wenye kipato cha kati" Yaani wao kupoteza 50k kwa kuhonga hela ya lunch hawawazi" hata ikitokea" wakanyimwa chiu' hawajutii " sababu uchumi una ruhusu"
Hamna mtu dunia hii ambaye hela haimuumi, hata Pablo Escobar alikua na hela hadi anazichimbia chini na zingine zinaoza ila ukimdhulumu hata 100$ anakuzika,
 
hahaa " issue kama hizo huwa hazitaki pupa chief "... yataka mzoeane kiasi", huku awali ukiwa wajifanya", una pretend kuwa huna nia ovu ya kumuomba muhusika papuchi"... ndio maana Evelyn " akasema" huwa inafanywa",na wanaume" ambao umri

wao umesonga",na wale wenye kipato cha kati" Yaani wao kupoteza 50k kwa kuhonga hela ya lunch hawawazi" hata ikitokea" wakanyimwa chiu' hawajutii " sababu uchumi una ruhusu"
Wewe unaelewa Sana.
 
Wewe unaelewa Sana.
Hao wababa washajikatia tamaa, myself siwez kumkubali dem anayeidharau pesa na kuitumia hovyo hovyo, napenda anayenifanya niwe makini na kuweka akiba...cheki Mr Mengi na Jacky, ile couple ndo nayoona imekaa fresh kwenye wallpaper. Wote wametulia hawana mbwembwe aah ila cheki vidada vyetu vinavyojifanya vizuri ila vinajianika tu uchi
 
Hao wababa washajikatia tamaa, myself siwez kumkubali dem anayeidharau pesa na kuitumia hovyo hovyo, napenda anayenifanya niwe makini na kuweka akiba...cheki Mr Mengi na Jacky, ile couple ndo nayoona imekaa fresh kwenye wallpaper. Wote wametulia hawana mbwembwe aah ila cheki vidada vyetu vinavyojifanya vizuri ila vinajianika tu uchi
Jacky
 
Hamna mtu dunia hii ambaye hela haimuumi, hata Pablo Escobar alikua na hela hadi anazichimbia chini na zingine zinaoza ila ukimdhulumu hata 100$ anakuzika,
aaahghh wewe kumbe wataka " league" hapa hatuzungumzii swala la kudhulumiwa" tuna zungumzia uwezekano " wa mtu" kutumia alichonacho"(peas), huku nafsi yake ikiwa huru"yaani ameridhia"... huyo pablo kuna wakati" alikuwa" anaweza kukutemea mate usoni" halafu anakupa $500 ... wakati huo huo upande wa pili ukimdhulumu hiyo hiyo $500 anaweza hata kukutoa roho "... so umeshaiona " tofauti ya hayo matukio mawili hapo".... au bado wahitaji darasa ""?
 
Back
Top Bottom