hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,534
- 73,791
pesa ni maua "... Penye uzia penyeza rupiakidogo hiyo inaweza mshtua MTU
pesa ni maua "... Penye uzia penyeza rupiakidogo hiyo inaweza mshtua MTU
Tako ndo kila kitu mkuu. Kwanza mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degreeNyie mnaonekana mnajibeba sana...siku hizi kila mwanamke anapiga picha tako lake, sura waala, hata km mbovu fresh
Kabisaaa.Huyo ukimzoea hakupi shida ndio alivyo
Kabisaaa.
Daaah. Una raha. Mwambie basi anikumbuke. Sijui kisa nachokunywa gharama? Kwanza Ana hela hata akasema aninunulie kila siku anawezaItakua hukuonesha ushirikiano mi nna ratiba ya wine kabisa ha ha ha
Mtag Nione Kama ndo yule alienitumia na Mimi pia. Mwanaume huzunguki. Hapo unapata na Namba kiulainii

Kuzuga tu. Wale wa kila kitu na yeye hayupoZamani alikuwa ananipa shida sana na ile kujishtukia ila sasa hivi woiii hanipi kabisa na kujifanya decent yeye kumbe watu
hahaa " issue kama hizo huwa hazitaki pupa chief "... yataka mzoeane kiasi", huku awali ukiwa wajifanya", una pretend kuwa huna nia ovu ya kumuomba muhusika papuchi"... ndio maana Evelyn " akasema" huwa inafanywa",na wanaume" ambao umriHili ndo linafanana na zile kesi flani za bahati nasibu, dem yupo mkoa anataka kuja geto umtumie nauli, wee hadi niende kwanza kwao ndo safari ijayo atakuja




mbona kuzuga huku unachoreka acha nicheke kisambaa mie
Kuzuga tu. Wale wa kila kitu na yeye hayupo
Umeona eeehh!!Hakuna sehemu inabeba siri Kama pm. Siku nikidate huku lazima niombe pm ya bby maana kule mengi yanaendelea mkija jukwaani unadanganywa uko mwenyewe kumbe mmepangwa
hahaa haa mamaee"....Tako ndo kila kitu mkuu. Kwanza mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree
Mmepangwa kama woteee uwiii nimekumbuka yule mdada alivyonisemea kuwa bwana ake anashinda pm kwangu huku jukwaani namchora tu ila akae akijua pm yake ninayooo![]()
mdada yupi huyoohahaa haa mamaee"....Tako ndo kila kitu mkuu. Kwanza mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree
Hamna mtu dunia hii ambaye hela haimuumi, hata Pablo Escobar alikua na hela hadi anazichimbia chini na zingine zinaoza ila ukimdhulumu hata 100$ anakuzika,hahaa " issue kama hizo huwa hazitaki pupa chief "... yataka mzoeane kiasi", huku awali ukiwa wajifanya", una pretend kuwa huna nia ovu ya kumuomba muhusika papuchi"... ndio maana Evelyn " akasema" huwa inafanywa",na wanaume" ambao umri
wao umesonga",na wale wenye kipato cha kati" Yaani wao kupoteza 50k kwa kuhonga hela ya lunch hawawazi" hata ikitokea" wakanyimwa chiu' hawajutii " sababu uchumi una ruhusu"
Wewe unaelewa Sana.hahaa " issue kama hizo huwa hazitaki pupa chief "... yataka mzoeane kiasi", huku awali ukiwa wajifanya", una pretend kuwa huna nia ovu ya kumuomba muhusika papuchi"... ndio maana Evelyn " akasema" huwa inafanywa",na wanaume" ambao umri
wao umesonga",na wale wenye kipato cha kati" Yaani wao kupoteza 50k kwa kuhonga hela ya lunch hawawazi" hata ikitokea" wakanyimwa chiu' hawajutii " sababu uchumi una ruhusu"
Hao wababa washajikatia tamaa, myself siwez kumkubali dem anayeidharau pesa na kuitumia hovyo hovyo, napenda anayenifanya niwe makini na kuweka akiba...cheki Mr Mengi na Jacky, ile couple ndo nayoona imekaa fresh kwenye wallpaper. Wote wametulia hawana mbwembwe aah ila cheki vidada vyetu vinavyojifanya vizuri ila vinajianika tu uchiWewe unaelewa Sana.
JackyHao wababa washajikatia tamaa, myself siwez kumkubali dem anayeidharau pesa na kuitumia hovyo hovyo, napenda anayenifanya niwe makini na kuweka akiba...cheki Mr Mengi na Jacky, ile couple ndo nayoona imekaa fresh kwenye wallpaper. Wote wametulia hawana mbwembwe aah ila cheki vidada vyetu vinavyojifanya vizuri ila vinajianika tu uchi

aaahghh wewe kumbe wataka " league" hapa hatuzungumzii swala la kudhulumiwa" tuna zungumzia uwezekano " wa mtu" kutumia alichonacho"(peas), huku nafsi yake ikiwa huru"yaani ameridhia"... huyo pablo kuna wakati" alikuwa" anaweza kukutemea mate usoni" halafu anakupa $500 ... wakati huo huo upande wa pili ukimdhulumu hiyo hiyo $500 anaweza hata kukutoa roho "... so umeshaiona " tofauti ya hayo matukio mawili hapo".... au bado wahitaji darasa ""?Hamna mtu dunia hii ambaye hela haimuumi, hata Pablo Escobar alikua na hela hadi anazichimbia chini na zingine zinaoza ila ukimdhulumu hata 100$ anakuzika,