Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

hahhahha eve leo nakugawa rasmi.... xmas nilitumiwa wine 3 dadeq!kwa njia hyo hyo!jimiminia weeeee!dadeq!

siku nyingne katokea jamaa ...nikamwambia sijafika job usafiri leo sina!why mamy!nikamwambia ah bima imeisha!naogopa trafk...hela ya bima hyoooo!ila hz technique waanweza wale wakaka age fulan!safiiiii!
Kuna wanaume bwana hapa ndani. Sasa wale wa nambie. Kaka nikwambie nini na wewe ndo umeanza story pm kwangu. Kuja leta story weka mazingira ya kupewa namba
 
Hahaaaah sasa wengi wenu humu huwa hamuelezi huu ukweli...wengi wenu nyie mna act like jamaa hata awe mkali vipi hamuwezi kuwa nae bila jamaa kuwapa hela
Aaaah wewe. Ukimuelewa MTU pesa kitu gani bwana. Sema MTU anaetanguliza hela unajua kuna kaconnection flan anakatengeneza. Ila MTU anaevutia hata bila hela roho nyeupeeee unajisogeza.
 
Back
Top Bottom