Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Ngoja na mimi nikafunguamo ka pmSiwez funga PM mm bhn najua faida yakeee
Ngoja na mimi nikafunguamo ka pmSiwez funga PM mm bhn najua faida yakeee
Kama hivyo basi na mie kadunchuu. Hili tumbo tu ndo linanifanya nionekane tukinaoHahahah najiamin bhn mm bado mdogoo ningeshakimbiwa kitambo ubitukinao nawaachia wengine
Hata akikupa si anafuta? Cha msingi akufungulie uzi mambo yawe wazi teh tehHakuna sehemu inabeba siri Kama pm. Siku nikidate huku lazima niombe pm ya bby maana kule mengi yanaendelea mkija jukwaani unadanganywa uko mwenyewe kumbe mmepangwa
Mm bhn bado bado hata 23 sjafikisha kwann nijizeesheKama hivyo basi na mie kadunchuu. Hili tumbo tu ndo linanifanya nionekane tukinao
Lakini si unataka mzigo mkuu toa pesa tu kama hutaki achana naoWanadai kuwa ili muongee vizuri lazima utangulize pesa kwanza
Ukweli hata Mimi sitaki salamu za kila dakika kushindishana pm tu. Hao wanaotuvutia tunakuaga tumeshawaona huku na sisi hivyo akija pm inakua rahisi. Sasa wewe sijawahi ona Id yako kabisa utanishawishi vipi nikeshe pm na wewe?But most of you wakati mnachangia hii thread mlikuwa mnaonesha ili mtu akuvutie lazima atangulize pesa kwanza wakati sio kweli na kuwadhihaki wale wanaotoa salamu kila mara
😀😀😀 so mpo under 20Kama hivyo basi na mie kadunchuu. Hili tumbo tu ndo linanifanya nionekane tukinao
Unakosa mengiii fungua pm hiyooNgoja na mimi nikafunguamo ka pm
Sasa mbona sielewi yupi mume wa yupi na yupi mke wa yupi.
Naomba mwongozo naumia mimi inamaana nilicheza kwaito bure?






MtajeeeeeeeMmepangwa kama woteee uwiii nimekumbuka yule mdada alivyonisemea kuwa bwana ake anashinda pm kwangu huku jukwaani namchora tu ila akae akijua pm yake ninayooo![]()
Hahahahahaaa.. Ukiona bwana wa MTU pm fukuza.Mmepangwa kama woteee uwiii nimekumbuka yule mdada alivyonisemea kuwa bwana ake anashinda pm kwangu huku jukwaani namchora tu ila akae akijua pm yake ninayooo![]()
Watu hawataki kuzeeka😀😀😀😀😀😀 hakuna kitu sichopenda km kujidogosha aisee!
Watajua wenyewe. Kwanza huwezi mfurahisha kila MTU wanaoboeka wajifunze kuishi na wanawake😛😛😛😛 yaan wewe huwezekaniki,,,,mnaboa watu humu mjue
Mm bhn bado bado hata 23 sjafikisha kwann nijizeeshe
Kwan mm nilkuwa najua kama ana mke humuHahahahahaaa.. Ukiona bwana wa MTU pm fukuza.



acha apangwe hata kwenye backup I'd amenifata watapangwa sanaaa 





Kweli. Sasa hivi hawana I'd nyingine kweli?I'd zaooo ni za PM tuu bhn alafu ukikutana nao wapo vizuriii sana kwenye midorali
Unaiomba wapi?Hakuna sehemu inabeba siri Kama pm. Siku nikidate huku lazima niombe pm ya bby maana kule mengi yanaendelea mkija jukwaani unadanganywa uko mwenyewe kumbe mmepangwa
Ahaa kumbe, comment pia zinasemaVingi tu. Kwanza michango yake. Kuna watu tukiona tu MTU anavyochangia tunadata. Wanaokujaga na nakutumia kidogo ya JD wanakuaga sio watu ambao wako active Sana. Wanasomaga kimya kimya. Hata like hawatoi. Hao wanaovutia ni wale tunaowasomaga jukwaani michango yao nyuzi zao utani wao. MTU anaendika pumba pumba tu hawezi kuvutia hata aje pm aseme anatuma laki 2 hutoi Namba maana unajua ni mjinga

Afu kweli wanafuta bwana. Nyuzi za humu zingine utani tuHata akikupa si anafuta? Cha msingi akufungulie uzi mambo yawe wazi teh teh