Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Watajua wanaokulwa kimya kimyaaaaHahaahhaaa.ukija huku kujisifia Kama kote unapendwa. Wanaume na wanawake wenye mabebez huku wakati wengine mmewapanga bado heshima kwenu
Watajua wanaokulwa kimya kimyaaaaHahaahhaaa.ukija huku kujisifia Kama kote unapendwa. Wanaume na wanawake wenye mabebez huku wakati wengine mmewapanga bado heshima kwenu
Hata kama utani lakini kama anamtu utajua tuu.Afu kweli wanafuta bwana. Nyuzi za humu zingine utani tu
Sasa utajuaje km anataka kukutumia afu anaenda kwa mwingine, au hilo we hujali, as long as kashakupa dollar na ni real men, he can use you as how he likes and it doesnt matter as long as there's few cheese you are ok with spreading! Nimecopy tu hiko kizunguHizo hizooo labda awe na back-up I'd
Hahahahaaa mkuu umenifanya nitabasam kidogoHaya nimefungua. Acha nile matunda ya jf sasa.
🙂🙂 bwana wee!hapa wadada waliamua kufunguka tu wanavoeleza approach nzuri ni ipi!mengne ni yako!maana mmepewa maujuz bureee!Sasa km tukiwa tunajazana pm si JF itakuwa dating site, au hooking site, wengine tunaenjoy kupiga stori na nyie na PM tunapenda tuje pia, na bei mtupunguzie kidogo
Mimi nilivyo kilaza naweza nikajua ni matani tuHata kama utani lakini kama anamtu utajua tuu.
Si watakosa soko mkuu,Tatzo hakuna sura harisia
Tutamjazia pm mwisho afilisike tukose wine ha ha haMtag Nione Kama ndo yule alienitumia na Mimi pia. Mwanaume huzunguki. Hapo unapata na Namba kiulainii
Good for you Mrs Leo.am soo glad am married
Mizigo inalika bila hata kutoa pesa but ikiwa hapa inapretend kuwa bila pesa hailikiLakini si unataka mzigo mkuu toa pesa tu kama hutaki achana nao
Mi hanipi tena siku hizi sijui memfanyaje.Tutamjazia pm mwisho afilisike tukose wine ha ha ha
Kichwa kigumu hiki🙂🙂 bwana wee!hapa wadada waliamua kufunguka tu wanavoeleza approach nzuri ni ipi!mengne ni yako!maana mmepewa maujuz bureee!

Hapo kwenye soko. Tupendeni tu kupitia avatar. Labda tungeweka sura zetu msingeweza kututumia hata elfu 2 ya vochaSi watakosa soko mkuu,