Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Kaka shemeji hana hizo mamboAu na sumbai anakuzungukiaga nini? Hahahha
Kaka shemeji hana hizo mamboAu na sumbai anakuzungukiaga nini? Hahahha
Mkuu PM pesa mbeleSasa hapo mkuu ninazidi kuelewa cha kufanya, ishu ni mtonyo tu
Hapo sasaaa.Kupigwa free p sio dhambi na mimi sijasema ni dhambi...dhambi ni mtu ku act kuwa she is expensive wakati sio kweli
Mi ndo kwanza najifunza kutumia JF nilishazoea kuandika barua ya mkono, sasa huoni ID yangu kongwe kabla JF haijaanzaNywila anayo kalumanzila alafu kama I'd yako siyo kongwe sikujibu
Kweli MTU anaejielewa hawezi kataa. Kwanza unaambiwa usikatae witoMwambie hapa hapa 'NIMEJARIBU KUKUTUMIA MSG PM IMEFUNGWA,NAOMBA FUNGUA KUNA UJUMBE WAKO' hawezi kukataa labda awe mshamba fulani.
Mambo motroooo wanajifanya watakatifu tunawazooom tu kimya kimyaaaMambo ni motroooooo
Wewe haujafunga pm wewe kweli?Hahahah uwiii kuna watu watalia kama ndo hivi mfunde huyo 4G ninaye kwa pm yangu
Bora mbaba mwenye ndoa kuliko kijana wa kazi gani?Hela tunazo ila tatizo lipo kwenu mmezoea vibaba vyenye ndoa zao, sisi ambao hatuna ndoa zetu mnatuona mabolizozo![]()
Utamjuaje anavutia kabla hajaja PM ukamjibu kuwa atumw laki, ila ungemjua kabla asingetuma, au usingeomba ungekuwa unamiminiwa tuAaaah wewe. Ukimuelewa MTU pesa kitu gani bwana. Sema MTU anaetanguliza hela unajua kuna kaconnection flan anakatengeneza. Ila MTU anaevutia hata bila hela roho nyeupeeee unajisogeza.
😛😛😛 wat wenyewe mnajifanya expensv kumbe free p tuNani huyo? Asiuzike jamani ajifunze. Msando anasemaga Get Angry Get Inspired
Najibu I'd za kuanzia 2010 mpaka 2015 full stopMi ndo kwanza najifunza kutumia JF nilishazoea kuandika barua ya mkono, sasa huoni ID yangu kongwe kabla JF haijaanza
Kwahiyo akiwa hana hela yani ile chalalaaa ishawah kutokea, je ikitokea inakuwaje![]()
Kuna watu wana mihela humu naanzaje kufunga piem leo tu nina appointment na mtu mmoja maeneo ya Nashera hotelWewe haujafunga pm wewe kweli?
Aitwee aje aseme ni mume wake au siyo mume wake. Kabla sijamwita kaka shemeji.Huyu ni mme wa cute b huu mbn aakeshaga pm kwangu![]()
Ujidogoshe mpaka sura sasa. Maana unajidogosha hapa Mara paaap MTU anakutana na mamake mdogo wifi utakimbiwaHahahahha nikijidogosha ndo soko linazid atiii![]()
Hahahaahahaa. Zitoe zote na mie nizioneMambo ni motroooooo