Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Unazunguuuuuka....wakati unaweza tuma meseji moja tu ikakutambulisha we ni nani, upo wapi, unahitaji nini. Tena ukivizia sikukuu huyo mrembo amekwisha

"Hello miss, uko poa vipi maandalizi ya sikukuu....nmekuandalia japo visenti upate wyne sasa utapataje"

Sie wapenda hela lazma vinyweleo visimame, halafu hivo visenti viwe kuanzia laki koh koh sijui nimtag kaka mwenye hii technique!!!

Hey ladies vikware vitacopy vije kuapply msivipe namba havina kitu vimebeba pmb tu.
Kumbe ndio maana ulinipuuza pm kwako baada,nimeanzia mbaaaali,lol,nikija tena itabidi nipige shortcut
 
Ahaa ila nilishakwambia mambo ya kijijin yaache huko. Bado haujazoea mjini tuu jamani miaka yote hiyo?
Nifundishe namna ya kupata ile app ya free access..
A day after tomorrow you'll be taught, and I will teach you each and everything you want
 
Hahaha ,asee mie choka mbaya ndio maana haya mambo wala ,najifunza siku nikipata inshalah atakaye bahatika atapata zaidi ya laki ,bila hata kuniomba
safi kbs!hatusemi mtoe daily lakin kumtunuk kqazawadi ht kadogo ni kitu kikubwa sana!ht umpe pipi tu!kwetu sisi hua burdaniii!...hongera
 
Back
Top Bottom