Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
Sawa sawa,Leo Tp Mazembe tuko uwanjani,gambe mapemaaaa tunampiga mua Angola tunaingia nusu fainalimkuu utanishtua
Sawa sawa,Leo Tp Mazembe tuko uwanjani,gambe mapemaaaa tunampiga mua Angola tunaingia nusu fainalimkuu utanishtua
approach yako nzuri sana.Bado naendelea kujifunza humu,akitokea wa kutokea ata enjoy sana
Hadi kiu inanyemeleaSawa sawa,Leo Tp Mazembe tuko uwanjani,gambe mapemaaaa tunampiga mua Angola tunaingia nusu fainali
Hahaha, Mzee wa VARapproach yako nzuri sana.
Napenda kweli nimtumie mwanamke laki nne airudishe kwa jeuri, huyo namfungulia na kampuni kabisa
Ushuhuda huuHahahahaha.. sio kwa Zama hizi.. Ofcourse hapo napo nadhani ndipo nilipopata points nyingine za ziada haha.. Japo haikuwa laki 4 Ilikua chini yahapo ila the man ana mitego na makusudi acha kabisa mbaya zaidi I knew each and everything of him humu jf.. mpaka kwenye Ile kugombana nikawa namwambia kabisa....... Ndoivo Sifa na utukufu apewe yeye aliye juu... Aimeenn!!
Barikiwa maraelfu my Smart911
Ufahamu wangu utaujua nikija PM![]()
Kwahiyo akiwa hana hela yani ile chalalaaa ishawah kutokea, je ikitokea inakuwajeHahahahaha.. sio kwa Zama hizi.. Ofcourse hapo napo nadhani ndipo nilipopata points nyingine za ziada haha.. Japo haikuwa laki 4 Ilikua chini yahapo ila the man ana mitego na makusudi acha kabisa mbaya zaidi I knew each and everything of him humu jf.. mpaka kwenye Ile kugombana nikawa namwambia kabisa....... Ndoivo Sifa na utukufu apewe yeye aliye juu... Aimeenn!!
Barikiwa maraelfu my Smart911

Sasa tutawaaproach vp km hatuingii PMhatpo hapa kusema mje pm !binafsi sina maana hyo!@mm ningekuwaga men aisee !ningekuwa nawawin vilivyo wanawake!kuna approach nying sana sana za kuwawin wanawake... endeleen kujishaua ohh ina tv ndan!
watu wanawinika had unasema Mungu wangu huyu kaka amejuaje napenda hiki kitu!sasa wewe ednelea kuniuliza upo job? jamaa karudi?MM JIBU LANG DAILY NDIYO!

Ndio mkuu, inaonekana swala la kwanza kufanya ni kuingia PM, sasa wanatublok PM, hapo sasa tutafahamianaje maana namba za simu za kuwasiliana tunatakiwa tuzipate PM, hii PM hii ni shida sanaUshuhuda huu
Huko we nenda Mzee baba ,ushapewa mbinu zote ushindwe mwenyewe sasaNdio mkuu, inaonekana swala la kwanza kufanya ni kuingia PM, sasa wanatublok PM, hapo sasa tutafahamianaje maana namba za simu za kuwasiliana tunatakiwa tuzipate PM, hii PM hii ni shida sana
Ah mkuu miaka yangu inaanzia na 3, sio 2😀😀😀😀 DOGO bwana
PM zimefungwa labda ziko kwenye matengenezoHuko we nenda Mzee baba ,ushapewa mbinu zote ushindwe mwenyewe sasa
PMNdio mkuu, inaonekana swala la kwanza kufanya ni kuingia PM, sasa wanatublok PM, hapo sasa tutafahamianaje maana namba za simu za kuwasiliana tunatakiwa tuzipate PM, hii PM hii ni shida sana
nimekupita kias !mm nipo 4Ah mkuu miaka yangu inaanzia na 3, sio 2
Safi sanaOh sawa mkuu, nimejifunza kitu...![]()
Hamna sio kweli mkuu, wewe ni 2 za mwanzo mwanzonimekupita kias !mm nipo 4
Mwambie hapa hapa 'NIMEJARIBU KUKUTUMIA MSG PM IMEFUNGWA,NAOMBA FUNGUA KUNA UJUMBE WAKO' hawezi kukataa labda awe mshamba fulani.Ndio mkuu, inaonekana swala la kwanza kufanya ni kuingia PM, sasa wanatublok PM, hapo sasa tutafahamianaje maana namba za simu za kuwasiliana tunatakiwa tuzipate PM, hii PM hii ni shida sana