Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Aitwee aje aseme ni mume wake au siyo mume wake. Kabla sijamwita kaka shemeji.


dada siyo mwenyeweAitwee aje aseme ni mume wake au siyo mume wake. Kabla sijamwita kaka shemeji.


dada siyo mwenyeweHao kwa kweli niwape pole tu. Wanawake tunapenda kwa kusikia. Sasa usiponiwekea mazingira ya kukusikia ni tatizo lako usishindane na wanaojua wajibu wao kumsikilizisha mwanamkehahahahaha asimtag!mtakuwa km mnawmeka sokoni vile!SASA wewe unawaletea jazba wasoweza ht kuwanunuulia hereni za 5000 wanawake!lol
Safi sanayeah ishawahi nitokea alikuwa anashimba madini mererani Arusha mimi nilikua chuo nikikohoa tu muamala kidogo muamala ila alikuwa hajasoma ikamfanya asijiamini kabisa bali anatumia pesa zake kama zana pia I didn't love him for real alikuwa mweupee you know most of Arusha pipoz .. tuseme tu inategemea na priorities zangu ni zipi
- kwa Smart911 seriously nilikua napiga teke bakuli la dhahabu mkuu the man is blessed hakuna mfanoooo plus he's gentleman hata ukiongozananae mwenyewe unajishtukia unaona unamtia aibu.. na sometimes alikuwa akiniambia twende out namwambia just go love no problem with me anasema jiamini baby I want to go with you sweetheart .. nakataa no smart ntakutia aibu mambo yako ni next level kashamba mimi sikuwezi ananifata nilipo ananikumbatia kwa nguvuu ananiambia I loved you for who you are mahondaw don't you trust me.. najibu ai duuu ila nenda tu mimi nimebariki kabisa uwe na amani Yani full kujishtukia hahaha
Unaanzaje kwa mfano. Wacha pm on tudange.Kuna watu wana mihela humu naanzaje kufunga piem leo tu nina appointment na mtu mmoja maeneo ya Nashera hotel
Hahahah najiamin bhn mm bado mdogoo ningeshakimbiwa kitambo ubitukinao nawaachia wengineUjidogoshe mpaka sura sasa. Maana unajidogosha hapa Mara paaap MTU anakutana na mamake mdogo wifi utakimbiwa
Siwez funga PM mm bhn najua faida yakeeeUnaanzaje kwa mfano. Wacha pm on tudange.
Hakuna sehemu inabeba siri Kama pm. Siku nikidate huku lazima niombe pm ya bby maana kule mengi yanaendelea mkija jukwaani unadanganywa uko mwenyewe kumbe mmepangwaMambo motroooo wanajifanya watakatifu tunawazooom tu kimya kimyaaa
But most of you wakati mnachangia hii thread mlikuwa mnaonesha ili mtu akuvutie lazima atangulize pesa kwanza wakati sio kweli na kuwadhihaki wale wanaotoa salamu kila maraAaaah wewe. Ukimuelewa MTU pesa kitu gani bwana. Sema MTU anaetanguliza hela unajua kuna kaconnection flan anakatengeneza. Ila MTU anaevutia hata bila hela roho nyeupeeee unajisogeza.
Mascreenshot kama yote. Basi nitumie mimi maana kuna watu wapo pm kwangu na hawacoment huku sasa najiuliza I'd zao ni za kazi gani pm tuu auuuuuuu???????Mambo motroooo wanajifanya watakatifu tunawazooom tu kimya kimyaaa
Mmepangwa kama woteee uwiii nimekumbuka yule mdada alivyonisemea kuwa bwana ake anashinda pm kwangu huku jukwaani namchora tu ila akae akijua pm yake ninayoooHakuna sehemu inabeba siri Kama pm. Siku nikidate huku lazima niombe pm ya bby maana kule mengi yanaendelea mkija jukwaani unadanganywa uko mwenyewe kumbe mmepangwa



😀😀😀😀😀😀 hakuna kitu sichopenda km kujidogosha aisee!Ujidogoshe mpaka sura sasa. Maana unajidogosha hapa Mara paaap MTU anakutana na mamake mdogo wifi utakimbiwa
Vingi tu. Kwanza michango yake. Kuna watu tukiona tu MTU anavyochangia tunadata. Wanaokujaga na nakutumia kidogo ya JD wanakuaga sio watu ambao wako active Sana. Wanasomaga kimya kimya. Hata like hawatoi. Hao wanaovutia ni wale tunaowasomaga jukwaani michango yao nyuzi zao utani wao. MTU anaendika pumba pumba tu hawezi kuvutia hata aje pm aseme anatuma laki 2 hutoi Namba maana unajua ni mjingaUtamjuaje anavutia kabla hajaja PM ukamjibu kuwa atumw laki, ila ungemjua kabla asingetuma, au usingeomba ungekuwa unamiminiwa tu
Tunaaaaanzaaaa upyaaaaaaaaaa ... Ngoja nitoeHahahaahahaa. Zitoe zote na mie nizione
Hapana. Expensive wanasema wao. Unaweza ona Fulani expensive kumbe kuna mwenzio anamuoba ndo demu wa kumla akiwa na nyege za kula mwanamke asiemsumbua kwa chochote😛😛😛 wat wenyewe mnajifanya expensv kumbe free p tu
Wanadai kuwa ili muongee vizuri lazima utangulize pesa kwanzaMakubaliano tu ongea nae vizuri
I'd zaooo ni za PM tuu bhn alafu ukikutana nao wapo vizuriii sana kwenye midoraliMascreenshot kama yote. Basi nitumie mimi maana kuna watu wapo pm kwangu na hawacoment huku sasa najiuliza I'd zao ni za kazi gani pm tuu auuuuuuu???????
HahahahahaaAitwee aje aseme ni mume wake au siyo mume wake. Kabla sijamwita kaka shemeji.
😛😛😛😛 yaan wewe huwezekaniki,,,,mnaboa watu humu mjueHao kwa kweli niwape pole tu. Wanawake tunapenda kwa kusikia. Sasa usiponiwekea mazingira ya kukusikia ni tatizo lako usishindane na wanaojua wajibu wao kumsikilizisha mwanamke
Sasa mbona sielewi yupi mume wa yupi na yupi mke wa yupi.dada siyo mwenyewe