Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Anza na muamala basi, na mimi nitoe gundu khaa
Fungua PM bwana, nina ujumbe maalumu kutoka kwa senior advisor (SE)
Fungua PM bwana, nina ujumbe maalumu kutoka kwa senior advisor (SE)
makini sanaaaaaa 😂😂😂Hahahahah
Sasa hivi naona upo makini sana
Umejuajw yuko vzr MkuuMbona uko vzuri tu
Sasa izo mbinu ukianza kutumia saizi mabebi watakaza maana jamaa ameshawashtua![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ushaambiwa huko mbinu zote na Evaa
Mbaya wewe.
Hahaha da mange hide my ID, hatumtaki mama Mchungaji wetu na mafile yake ni haya hapa kama hataki kujiuzulu khaaaaa![]()
![]()
![]()
wanaenda kuhide I'd zaooo
unadhani kuna mwingine kama si wewe maana ulinikataa hadi nikastop miezi miwili kutupia ndoanoKwa nani tena KK kama mm we nipe mahela tu tena mengi mengi
Pesa mbeleNa uwe chambichambi
Wenye vitambi ndo wana mahela haoo...Mie nakitambi hiki ,mtanitesa sana
sitaki kupasikia siyo watu wazuri wale.. nikienda tena mbwembwe zote mfukoni
sitaki tena kujifanya mjuaji wa miji ya watu
hamu zako unabaki nazooooHiyo ishu Raynavero alithbitisha ni yeye kweli,, ndo maana mie nikaaminiIssue ya mumu ulishikilia bango sana kumpa I'd ambayo sio yake atumie I'd nyingine ili iweje kwa mfano basi ukamuo'a tena ukamquote kuhusu I'd ndio mana kuna siku ukamquote tena akakujibu vibaya watu hawapo hivyo jamani wengine hawapendi drama humu za I'd mbili sijui
Mkuu mnaoongeaga hivi ndo inakua kinyume chakeNapambana na umbo langu La sanamu la micheliniii
nimekumbuka na wewe upo kwenye list yangu nilitumia hizi mbinu nikaangukia pua kwenye back up id yangu😎
I missed you too Yemi alade..I miss you Johnny...
Tuma tu hela kakaa!!usitubanieeSasa izo mbinu ukianza kutumia saizi mabebi watakaza maana jamaa ameshawashtua
Huoni upaja ulivojaa supu?Umejuajw yuko vzr Mkuu