Labda umefungua hivi karibuniIpo wazi lakini siwaoni hao wanaogawa mahela

na tubarikiwe sote mama angu
Jamani jamani muumini (teh sipati picha hilo kanisa), kamessage kako kameugusa mno moyo wangu. Nakupenda pia na Damu ya Yesu iendelee kunena mema juu yako
Waulize akina Shuniejamani nani aliyeachika,mbona nabanwa na umbea afu sielewi,lol
Fungua PM bwana, nina ujumbe maalumu kutoka kwa senior advisor (SE)Mwenyekiti amenipa mawazo hapa, nimeanza maombi ya kufuatwa pm na muamala khaa
Labda umefungua hivi karibuni
Two month agoEiiish
Kwani ulishawahi kujaga



haki vile duniani hakuna usawaHahaaaa, Mangi ushaitwa Sweetheart?Mkuu uko vizuri
Kuna kipindi ilintokea puani, sa ivii kimyaaa,,Nimecheka
Two month ago![]()
Sanaa tu, sema siku hizi siitwi tenaaaHahaaaa, Mangi ushaitwa Sweetheart?
Kuna kipindi ilintokea puani, sa ivii kimyaaa,,
"Wapo wanaocheza na muhamala, wapo wanaocheza na likes"haki vile duniani hakuna usawa
chagua unapofit sasaaa!!!😂😂😂😂😂 huelewi nn jamn dada anguMmhh!siwaelewe huuu ubebe!!ujuee
Kuna ishu moja ile iliyoleta taharuki,,Eeenh
Ulikuwa unataka nn huko pm jamani
U bebe na shunieeeeee!!!huelewi nn jamn dada angu