Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Pale mafisi wanapokaribishwa buchani hakitasalia kitu
 
😂😂😂😂😂
bro wangu alinijengea sana kujiamini... mbele ya hawa viumbe...Alikuwa na usemi "UKICHEKA na NYANI utavuna MABUA" alaf alikuwa na kiupepo cha kupata madem.. yaan wanakuja wengine nyumbani wanajifanya kupikapika pale.. yeye akirudi kutoka job anawatimua na fimbo..
 
Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!

Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz

Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.

*nafundisha kutongoza bure
You make me laugh uko funny, wenzio wamepewa techniques wewe unawapeperushia ndege, vibaya hivo Evelyn.
 
Back
Top Bottom