Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Sasa Mkuu si ndo umewapeperusha sasa???

Dah watu tunahangaika kinoma just kipochi manyoya tu,Dah aisee kazi ipo kwa kweli.

Unahangaika weeee na user name unaivest muda wako at the end unakuja kukutana na mtu/demu ambaye hata ww unakuta umemzidi uzuri hapo ndipo maji utayaita mma na wakati umri haukuruhusu kuyaita hivyo.
 
nakumbuka kiingereza chake kibovu aliniuliza "how would you like it.. you take it first or am all yours" hii sentensi hadi kesho inatia ukakasi lile lilikuwa active lilitaka zamuzamu ..daaaah jimmie mimi nchi ya watu sijui nani angenitetea
kila nionapo I'd yako lazma nkumbuke stori ya Thailand!!!
 
Sasa Mkuu si ndo umewapeperusha sasa???

Dah watu tunahangaika kinoma just kipochi manyoya tu,Dah aisee kazi ipo kwa kweli.

Unahangaika weeee na user name unaivest muda wako at the end unakuja kukutana na mtu/demu ambaye hata ww unakuta umemzidi uzuri hapo ndipo maji utayaita mma na wakati umri haukuruhusu kuyaita hivyo.
 
Issue ya mumu ulishikilia bango sana kumpa I'd ambayo sio yake atumie I'd nyingine ili iweje kwa mfano basi ukamuo'a tena ukamquote kuhusu I'd ndio mana kuna siku ukamquote tena akakujibu vibaya watu hawapo hivyo jamani wengine hawapendi drama humu za I'd mbili sijui
Dada vua basi, mi ujue matani mengi
 
Back
Top Bottom