Jinsi watu wanavyotongozana JF

Sasa Mkuu si ndo umewapeperusha sasa???

Dah watu tunahangaika kinoma just kipochi manyoya tu,Dah aisee kazi ipo kwa kweli.

Unahangaika weeee na user name unaivest muda wako at the end unakuja kukutana na mtu/demu ambaye hata ww unakuta umemzidi uzuri hapo ndipo maji utayaita mma na wakati umri haukuruhusu kuyaita hivyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio ukome babe insta
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] kila nionapo I'd yako lazma nkumbuke stori ya Thailand!!!
 
[emoji16]
 
Issue ya mumu ulishikilia bango sana kumpa I'd ambayo sio yake atumie I'd nyingine ili iweje kwa mfano basi ukamuo'a tena ukamquote kuhusu I'd ndio mana kuna siku ukamquote tena akakujibu vibaya watu hawapo hivyo jamani wengine hawapendi drama humu za I'd mbili sijui
Dada vua basi, mi ujue matani mengi
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] kila nionapo I'd yako lazma nkumbuke stori ya Thailand!!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sitaki kupasikia siyo watu wazuri wale.. nikienda tena mbwembwe zote mfukoni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sitaki tena kujifanya mjuaji wa miji ya watu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…