pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Mi situmii TECNO lakini tatizo la kifurushi kuisha haraka liko palepale
Kisha unang'oa mauchafu yote.Dawa yao ni kuroot
Ndio pumba zote unatoa unabakia mchele tuKisha unang'oa mauchafu yote.
Sent From My Cupboard Using Mug
Unawashauri wafanye nini?Kazi kwenu wazee wa..
"Unfortunately jamiiforums has stoped"
"WAIT, OK, REPORT"
Kabla huja opt chochote unaona..
"Phone is restarting"
Ikiwaka, subiri Dk kumi wenge liishe,
Wenge nalo likiisha unaona
"Battery low",
hujatafuta hata charge,
Ilishazima..
Ila nyie ndugu zangu mna Roho ngumuu..
"Rahisi Ghali"
Ha ha ha...Kazi kwenu wazee wa..
"Unfortunately jamiiforums has stoped"
"WAIT, OK, REPORT"
Kabla huja opt chochote unaona..
"Phone is restarting"
Ikiwaka, subiri Dk kumi wenge liishe,
Wenge nalo likiisha unaona
"Battery low",
hujatafuta hata charge,
Ilishazima..
Ila nyie ndugu zangu mna Roho ngumuu..
"Rahisi Ghali"