TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau..!
Dunia imejaa dhulma na chuki sana kama haujawahi kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.
Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.
Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakuta eneo langu nusu limejengwa, nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.
Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu, nilikuwa natafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauri nimpe mateso tu mpaka aombe radhi. Nilimpiga kombola moja tu sasa hivi yupo ndani tu hajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani, kidogo sasa moyo wangu una amani lakini bado natamani nimmalize kabisa.
Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamaa ndio nafsi yangu itaburudika?
Dunia imejaa dhulma na chuki sana kama haujawahi kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.
Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.
Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakuta eneo langu nusu limejengwa, nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.
Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu, nilikuwa natafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauri nimpe mateso tu mpaka aombe radhi. Nilimpiga kombola moja tu sasa hivi yupo ndani tu hajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani, kidogo sasa moyo wangu una amani lakini bado natamani nimmalize kabisa.
Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamaa ndio nafsi yangu itaburudika?