Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 5,579
- 21,137
id inakusumbua.EGO inakusumbua.
id inakusumbua.EGO inakusumbua.
Tatizo unakariri vitu. Nimekuonesha sequence ya insulin umekataa. Sijui kama unajua issue za genome. Ninakusihi utulie utajifunza mengi.id inakusumbua.
[emoji16][emoji16][emoji16] we jamaaHiyo insulin ina mpenzi?
Kama haina mpenzi, kwa nini hadi sasa uzi upo MMU
Ungeendelea mkuu, unavyoleta bandiko lako ambalo umeanza kulitokea leo toka 1990, lakn bado unasua sua hata ambao wanakuamini wataanza kutafuta vitafunwa..Tatizo unakariri vitu. Nimekuonesha sequence ya insulin umekataa. Sijui kama unajua issue za genome. Ninakusihi utulie utajifunza mengi.
Pamoja na kuweka badiko. Nipo na kazi zangu nazifanya. Ninaandaa pages ili nikiweka hapa nieleweke.Ungeendelea mkuu, unavyoleta bandiko lako ambalo umeanza kulitokea leo toka 1990, lakn bado unasua sua hata ambao wanakuamini wataanza kutafuta vitafunwa..
Okay, siti ya mbele nimekaaPamoja na kuweka badiko. Nipo na kazi zangu nazifanya. Ninaandaa pages ili nikiweka hapa nieleweke.
Unanibadili siti yangu hiv hiv mkuu🤔🤔🤔, si nilienda hapo uani mara moja jamani🤪🤪, na wewe kabisa nilikuona umekaa kule backbench🤣🤣🤣🤣🤣Okay, siti ya mbele nimekaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tubanane tu kwa muda, kule nyuma sitosikia vizuri..Unanibadili siti yangu hiv hiv mkuu[emoji848][emoji848][emoji848], si nilienda hapo uani mara moja jamani[emoji2957][emoji2957], na wewe kabisa nilikuona umekaa kule backbench[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kabisa earning money ni ufahamu na namna akili yako umeituliza huwezi kuwa na hela nyingi kama huna ufahamu wa kitu na akili kama haita tuliaWatu wanauliza sana kuhusu money.
Guys earning money ni matokeo ya matumizi ya formula.
Utakapojua jinsi dunia inavyo operate utajua Physical Energy and Spiritual Energy.
Let say umeshajua spiritual energy utaweza kutumia dark or white power. Ni wewe uchaguzi wako.
Vivyo hivyo kwenye money. Money ni matokeo ya kutokana na maarifa.
Kama mtu ni mjinga hawezi akajua namna ya Kupata pesha.
huwa iaonekana hivyo kwa watu wa namna fulani ila watu wana experience mambo aminiUna Mental illness...
Grandiose
Visual hallucinations
Auditory hallucinations
Ni nn iyoStay away
Embu acheni upuuzi,ukiona haya yanayojadiliwa sio saizi yako kaa kimya au pita kushoto.Katika ndugu zako wa karibu kuna yeyote aliyewahi kuugua ugonjwa wa akili?
Una Mental illness...
Grandiose
Visual hallucinations
Auditory hallucinations