Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

emoji851.png
emoji851.png
emoji851.png
emoji851.png

Shusheni hata aya kadhaa za vita kubwa kubwa zilizotingisha dunia mtaeleweka tuu.
Ahaaa mtachoka bure maana hizo nilikuwa nashukaga vibaya
Aisee..

Salama lakini huko ulipo?
Kabisa
 
Niko hapa na [emoji2769] pamoja na [emoji2782] tuendelee na chapters zinazo fuatia lazima tupite na insulin [emoji3578]
 
Mleta mada mbona kapotea ghafla?
Au amechukuliwa tena na viumbe vya ajabu ili aka upgrade formula alizopewa mwanzo? maana toka mwaka 90 ni kitambo.
 
Nawasalimia kwa pamoja ndungu zangu wana JF.
Muda mrefu umepita nimekuwa nikiwaza sana kuhusu jambo hili lililonitokea tarehe 11/9/1990. Kila nikijaribu kumwambia mtu moyo unakataa nahisi kwamba hata nielewa na anaweza akaanza kuniogopa. Kipindi kile nilikuwa nilikuwa nimeingia kidato cha sita shule ya sekondari ya ILBORU nikiwa nasoma masomo ya sayansi.

Leo nimeona niandike humu huenda wapo watu watanielewa maana jambo hili nimekuwa nikiliwaza sana. Siku hiyo wanafunzi wote walikuwa wamelala ilikuwa usiku wa manane. Ghafla usingizi ulikata na nikapata msukumo wa kutoka kwenda nje. Basi nilifanya hivyo. Nikaenda kukaa kwenye mti ambao tulikuwa tunapendelea kukaa ili kupiga soga.

Ghafla nilipigwa mwanga usoni na kitu kilichotokea mbele yangu. Mwili wangu ukawa kama umepigwa shoti ya umeme, nywele zangu zote zikasimama, nikawa na jiona kama nimo ndani ya maji nikielea. Nikasikia sauti ikiniita jina langu J J J mara tatu. Naami nikaitika na kusema naam!!

Viumbe wawili wa ajabu walinisogelea mmoja akanigusa kichwani ndipo nguvu zikanijia. Wakaanza kunena na mimi; ni mambo mengi sana waliongea na mimi, lugha tuliyokuwa tunaongea nao kwakweli mpaka leo hii siwezi kuijua kuwa ni lugha gani. Bali tulikuwa tunaelewana. Walinipatia kanuni kadha wa kadha, ilinichukua muda kuzielewa.

Viumbe hao walinibeba kwenye chombo chao kilikuwa kinafanana na meli ambayo ni ya duara. Tuliondoka mpaka tukafika sehemu. Wakaniambia hapa ndipo chanzo cha nishati, wewe umeweza kuyaona haya tutakufunulia siri nyingi ili uweze kuwapatia wengi wajue ulimwengu huu. Wakasema sisi tunawaona mnahangaika sana elimu na ujuzi wenu bado upo chini sana maana hamuwezi hata kutuona sisi tukija huko. Uwezo wa macho yenu kuona ni mdogo sana, hata masikio yenu hayawezi kutusikia.

Viumbe hao wakanipatia formula mbalimbali na namna nitakavyo wafundisha wengine jinsi ya kujua siri nyingi. Nimejaribu kuzitumia formula kadha wa kadha naona zinafanya kazi.

Ninajitolea sasa kuanza kuwafundisha watu watakaokuwa tayari.

Kama kuna mtu mwenye swali karibu sana.
Bangi sio nzuri

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mlioota ebu shusheni madini hapa nn mlishuhudia baada ya kuamka saa nane usiku na kukaa kwa dakika 20 then kurudi kulala nn mliota nategemea kuona shuhuda hapa kama mbili hivi za mselambaya Okwaaa
 
Hayo ni mapepo ya kwenu usifundishe watu uchawi wa kwenu pili mbona hauweki wazi vitu unaficha hizo ni siri za uchawi wenu usitufundishe
 
Tushudie mkuu, mm nilifanya jaribio lile ck ile ile hakika niliota vitu vya ajabu sana. Nilitegemea ntaota mambo ya maendeleo na mahela lkn haikuwa hivo.
[emoji1][emoji1][emoji1]
Acha tu mkuu mwenye uzi akisema tutoe ushuhuda ntatoa
 
Hallo mtaalamu naomba kujua lugha ulikuwa unatumia kuongea ana nao na kama walikuachia connection.
 
Back
Top Bottom