Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,161
- 2,028
Vijana wasome wapate GPA kubwa lakiniwasibaki chuoni kufundisha. Maana kuwa lecturer kutamfubaz akili. Hili ni mtazamo wanguHabari wanajamvi,
Inabidi tuzungumze uhalisia wanajamvi matokeo ya wanafunzi wengi wa vyuo wa miaka ya hivi karibuni yamekua duni ukilinganisha na vizazi vilivyopita vya miaka 90s,80s,70s, GPA kuanzia 3.8 ni za kutafuta na tochi vyuoni haswa haswa vyuo vya umma
Moja ya sababu ni kumekua na kasumba kwa wanafunzi wa vyuoni kwamba hata kama upate GPA nzuri kuanzia 3.8 haina maana kivyovyote kama hauna connection utabakia jobless milele, na unakuta kabisa kuna baadhi ya wanafunzi wanawajisifia kwa wanafunzi wenzao kwamba wewe soma tu sana na GPA yako nzuri lakini hutoboi mimi mjomba angu ni mwasibu TRA.
Shwain unakuta mjomba mwenyewe wa jamaa ni mwasibu wa kawaida tu kijana anajiharibia future yake akidhania kwamba mjomba wake ambae ni mwasibu wa kawaida TRA pengine wa ngazi ya chini anaeza mpa ajira.
Kiuhalisia nchi yetu connection zipo kwa zaidi kwa watoto wa vigogo kama mawaziri, makatibu wakuu wa wizara na viongozi wengine wa ngazi ya juu nje na hapo kijana tafuta GPA na ishi na watu vizuri, Na vile vile kuna baadhi ya watu wametusua kupata ajira chap kutokana na GPA zao kua safi bila connection yoyote.
Wish you well.Wanaanzia 4.0
Ndo tunajisajil hapa,tunywe chai
Then kipute kianze
Siku izi iyo 3.5 ni kimbembe mtitiTulipitia huko na first class tukapata!View attachment 2772990
Hahah ndugu nashukuru nishakamilisha mchakato nasubiri majibuKila la kheri kiongozi nakuombea utusue ulipigia wapi bachelor
Vijana wamekuwa na mambo mengi Sana!Siku izi iyo 3.5 ni kimbembe mtiti
Hongera dada ake wanawake kama nyie mnahitajika sana kwenye taifa hiliHahah ndugu nashukuru nishakamilisha mchakato nasubiri majibu
Nikikwambia nitablow cover
Ila nilitoka na gamba la 4.5
O level one ya 9
Afu science
Mwanamke 🤣🤣Hawa wanao wadharau
Hongera sanaHahah ndugu nashukuru nishakamilisha mchakato nasubiri majibu
Nikikwambia nitablow cover
Ila nilitoka na gamba la 4.5
O level one ya 9
Afu science
Mwanamke 🤣🤣Hawa wanao wadharau
Ahsante Sana mkuu🙏🙏Hongera sana
Unadhani hawakufahamu mkuu?Hahah ndugu nashukuru nishakamilisha mchakato nasubiri majibu
Nikikwambia nitablow cover
Ila nilitoka na gamba la 4.5
O level one ya 9
Afu science
MwanamkeHawa wanao wadharau
Ni kweli kabisa, hili jambo lina sababu nyingi sio moja tuu. Kuna hao wenye GPA ya 4 ila ukiongea nae ni mweupe kabisa kichwanikutafuta