Chubbylady
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 622
- 1,011
Ndugu wana JF saa 1 usiku nilipokea taarifa za kuumwa kwa Junior wakati wanampeleka hospitaal akazidiwa so amelazwa hapa. Nimeambiwa ni homa maana juzi tu hapa ametoka uchagani na mama yake, kama mambo yatakuwa mazuri tunaweza ruhusiwa.
Maombi yenu
Ooohoo Pole Sana Kwa Jr wetu MUNGU WETU amfanyie wepesi apate nafuu na apone kabisa MUNGU ni mwema atakua sawa