Jina lako kamili ni nani?

Jina lako kamili ni nani?

Ninaitwa Kizimbuzi, yaani kwa Kiingereza ni 'Decoder', ukiniunganisha kwenye TV unapata kila chaneli
 
hyu kaka anayejifanya ni mwanamke nadhani ametumwa au ana yake maana tangu juzi anauliza maswali anayodhani ni ya kidadisi kwa GREAT THINKERZ , juzi anauliza eti wewe kama mwana jamvi una ID ngapi jamvini huku akijua wazi kuwa kwa sheria na taratibu za JF ni kosa kuwa na ID zaidi ya moja na leo anakuja kuuliza majina halisi ya wanaJF, nadhani kama ni kweli huyu mtoa post ni mwanamke basi atakuwa mwezini, hiyo ni privacy na ndio maana wanaotaka kujulikana wametoa majina yao hata kama ni ya uongo(ukiondoa wale public figures) na kuwa termed kama VERIFIED MEMBERS sasa wewe nadhani unajambo...ngoja tusubiri tuone mpango wako kama utafanikiwa.

Yani ni kama kura ya wazi na siri wanaotaka ya wazi wanajuliksna na sisi wa siri id zetu zinajieleza huyu mleta mada anataka nini sijui.
 
nadhani atakuwa jini huyu katumwa sio bure...maana akili yake sio ya kawaida kabisa

Yani ni kama kura ya wazi na siri wanaotaka ya wazi wanajuliksna na sisi wa siri id zetu zinajieleza huyu mleta mada anataka nini sijui.
 
Mimi jina langu vasco dagama napenda kusafiri huwa naingia humu ikiwa tu TISS wataniambia kuwa mmeniandika habari zangu au za familia yangu.kama sasa nimeambiwa mmeniandika sana kipindi hichi cha mchakato katiba mpya na uchaguzi chalinze.
 
hahahaaa mpwa Elli
halauf ni siku nyingi sijkusalimia.........

Turudi kwenye topiki.......hivi mie naitwa nani?!!?..............anhaaa Paloma Hoza!!!
hahahhahaaaa Hoza nihoze Vimaka.....hapa zumbemkuu anahusika aje ataje jina lake
 
Last edited by a moderator:
hahahhahaaaa Hoza nihoze Vimaka.....hapa zumbemkuu anahusika aje ataje jina lake
mimi naitwa msitu wa ngedere mwanamakumaza kifuananga mkundujiwe navuka mto bila kulowa mapmbuz bin ng'wana nyiao ni kagoma ukitoatoa utamuekea nyiao

 
Hahahahahahahahahahaaaa... hadi mbavu zinauma,mwenzenu anataka tufahamiane kwa majina original nyie mnaleta dharau,wacha nitaje jina langu bana,kwani kuna dhambi? mimi naitwa Alhaji Rostam Lowassa a.k.a Kingunge Ngombale Mwilu VS Mti Mkavu hauchimbwi dawa,maisha magumu bongo kutoka kimaisha uwe na roho ya paka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom