Jina lako kamili ni nani?

Jina lako kamili ni nani?

Byanabanabarukozeenjala buwesi ndolage ilogelo kamachumu mirama...
 
Huyu wa kwenye google
download.jpg
Je wewe wa JF ?
 
hahahhaaaaaaa umekosea ku-pronouce hebu rudia tena MUMANGU SHEJAWANANGU sounds good huh! Nani atakusaidia kutamka hapa pengine Paloma

hahahaaa mpwa Elli
halauf ni siku nyingi sijkusalimia.........

Turudi kwenye topiki.......hivi mie naitwa nani?!!?..............anhaaa Paloma Hoza!!!
 
Last edited by a moderator:
Mh! dada majina ya nini jamani wakati kila mtu hapa amehide jina lake ila utatambua hekima za mtu kwa kuangalia michango yake. Naona haina maana kujitaja majina humu jamani....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom