Jina lako kamili ni nani?

Jina lako kamili ni nani?

Naitwa Zyamwelele Waashi Uwoga!! Nina Mke na watoto saba!! Je ungependa kujua jina la wifiako na majina ya shangazi zako?
 
Halo Grace mtoto wa Anderson, aka grace aliyejaaliwa, kwenye avatar weka picha yako nijue uko serious. Mimi jina langu ni Shiekaruwa Shilesario naishi Naibili wilaya ya Siha, Kilimanjaro.
 
Last edited by a moderator:
Mi naitwaa Balali wala sijafa nipo State nakula bata na kina Lupita an Jay z ,watoto wakaleee nisubiri nakuja 2015 kugombea uraisiii
 
mimi naitwa atogonilwe, mwakilasa mwakinyinyi, mwafindofindo, uswege, mwakuluguta mwaipopo. jina la mjini. kijana leo.
 
Mimi naitwa SISIEMU chama tawala wapinzani mtaishia kunawa sisi twala. kuna zaidi!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom