Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Mie naitwa mwajuma ndalandefu, Nyani Ngabu anaitwa hamisi kishindindo. Si haba kama unamjua jirani yako ukatutajia jina lake.
Last edited by a moderator:
jamani humu wengi tunatumia majina feki je jina lako kamili ni nani?....mm langu ni GRACE ANDERSON
Yaani posts 77 mara unataka kujua majina ya watu! Hivi unaijua jamii F au unadandia tu train kwa mbele! Some people!
jamani humu wengi tunatumia majina feki je jina lako kamili ni nani?....mm langu ni GRACE ANDERSON
Mi naitwa Jayaka Mshori kiTweke
jamani humu wengi tunatumia majina feki je jina lako kamili ni nani?....mm langu ni GRACE ANDERSON
Yule wa Moshi?jamani humu wengi tunatumia majina feki je jina lako kamili ni nani?....mm langu ni GRACE ANDERSON
mgaga gigi koko