Jina lako kamili ni nani?

Jina lako kamili ni nani?

naitwa chaUkucha Dawa Kali naishi sinza kwa wajanja kazi yangu ni misheni town nina miaka 42
 
thread zingine!!??wakati una register Fiter hayo unayoyatamka kama ndio majina yako hayakuwepo???
 
Baba ubaya
Napendelea ugomvi, majungu, vita za Mara kwa mara, kuhudhuria kesi nk.
 
Mimi naitwa Spidi Mnyamwezi Kokoriko Kumekucha.......Hapa JF almaarufu MTAZAMO....
 
Yaleyale ya akina Bujibuji.
Haya ameanzisha mada kama Grace aliyejaaliwa lakini sasa anajulikana kama fiter. Na fiter kama la kiume hivi, kumbukumu zinaonesha grace aliyejaaliwa ameawahi kusema yeye ni mwanamke na amejaaliwa neema za mwenyezi Mungu yaani ile mizigo tunayopenda sisi.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom