Mkuu mimi ni graduate.
Nimekaa miaka mitano bila ajira ya kueleweka kabisa
Sidhani kama nikinyima mtu hiki kidogo nitafanya sawa. Mwenyezi Mungu ataninyima baraka.
Naamini naweza pata mwajiri mpya kupitia forum hii
Lets share a little we have to support others.
Cc TIN 14
Daily profit sheet Ipo vizuri.
Nikitaka kufahamu mzigo uliopo store,mzigo mpya ulioingia,mzigo uliotoka,