Gerald1
Member
- Jan 17, 2022
- 89
- 111
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki, Me naitwa Gerald Anthony Lyapega naishi Kinyerezi ni muhangaikaji wa kawaida tu kwa jina langu la mitaa wananiitaga GYGA.
Pointi yangu ni kupata mshirika wa biashara, mimi nina eneo hapa stendi Kinyerezi nilikuwa na dhumuni la kufungua chips na nyamachoma ya mbuzi.
Sitohitaji anipe pesa yake nahitaji nimpe mahitaji yanayohitajka kisha yeye ndio anunue na kisha anikabidhi na kama uaminifu utakuwa mdogo anaweza nitafutia kijana umjuae au ndugu nikawa nafanya naye mpaka pale imani yako itapotulia ASANTE KWA ULIONIELEWA.
Kwa mkakati mzima nakukukaribisha kuona eneo namba yangu ni 0788317776 muda wote we piga.
Pointi yangu ni kupata mshirika wa biashara, mimi nina eneo hapa stendi Kinyerezi nilikuwa na dhumuni la kufungua chips na nyamachoma ya mbuzi.
Sitohitaji anipe pesa yake nahitaji nimpe mahitaji yanayohitajka kisha yeye ndio anunue na kisha anikabidhi na kama uaminifu utakuwa mdogo anaweza nitafutia kijana umjuae au ndugu nikawa nafanya naye mpaka pale imani yako itapotulia ASANTE KWA ULIONIELEWA.
Kwa mkakati mzima nakukukaribisha kuona eneo namba yangu ni 0788317776 muda wote we piga.