GE2025 Jimbo la Kigoma mjini limeenda kwa B.Levo imekuwaje msomi kashindwa?

GE2025 Jimbo la Kigoma mjini limeenda kwa B.Levo imekuwaje msomi kashindwa?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Ukweli humuweka mtu huru haya wale wasiyojua siasa na wenye mihemko ya kisiasa yako wapi msomi wenu kashindwa na amekubali kushindwa.

Uongozi siyo elimu bali kipawa kutoka kwa mwenyezi Mungu ndiyo maana bado kuna watu wanawaheshimu wazee ktk maamuzi kuliko WASOMI.

JIFUNZENI NA BADILIKENI WASOMI NDIYO WAMETUFIKISHA HAPA!!
 
Zitto Mwana CCM B Itakuwa alishindwa kulinda kura kwenye uchafuzi.
 
Hii nchi bhana daaah hivi baba levo kwa mikataba na sheria mbalimbali znazoletwa bungen ana uwezo gn wa kuyasoma tn kwa lugha ya kngereza na achangie achen masihala kbs na taifa hili ni heri liungue tufe wote kbs kije kzaz kngne hakuna popote ccm wanaweza lifksha hili taifa wkt hata maji tu yamewashnda halafu wabunge wnyw ndo hawa akna baba levo, babu tale, mama kikwete aisee nina uchungu sn jamani.
 
Ukweli humuweka mtu huru haya wale wasiyojua siasa na wenye mihemko ya kisiasa yako wapi msomi wenu kashindwa na amekubali kushindwa.

Uongozi siyo elimu bali kipawa kutoka kwa mwenyezi Mungu ndiyo maana bado kuna watu wanawaheshimu wazee ktk maamuzi kuliko WASOMI.

JIFUNZENI NA NADILIKENI WASOMI NDIYO WAMETUFIKISHA HAPA!!
Heri iwe hivyo japo wote ni chawa
 
Chagua nikupake mavi au nikukojolee, is basically the voter's choice here
 
Ukweli humuweka mtu huru haya wale wasiyojua siasa na wenye mihemko ya kisiasa yako wapi msomi wenu kashindwa na amekubali kushindwa.

Uongozi siyo elimu bali kipawa kutoka kwa mwenyezi Mungu ndiyo maana bado kuna watu wanawaheshimu wazee ktk maamuzi kuliko WASOMI.

JIFUNZENI NA NADILIKENI WASOMI NDIYO WAMETUFIKISHA HAPA!!
Dalali aliambiwa lakini kwamba hatashinda. Alishupaza fuvu.
 
Hii nchi bhana daaah hivi baba levo kwa mikataba na sheria mbalimbali znazoletwa bungen ana uwezo gn wa kuyasoma tn kwa lugha ya kngereza na achangie achen masihala kbs na taifa hili ni heri liungue tufe wote kbs kije kzaz kngne hakuna popote ccm wanaweza lifksha hili taifa wkt hata maji tu yamewashnda halafu wabunge wnyw ndo hawa akna baba levo, babu tale, mama kikwete aisee nina uchungu sn jamani.
Kwanini hukugombea wewe msomi au kwanini hao wasomi wako washindwe?
 
Kwanini hukugombea wewe msomi au kwanini hao wasomi wako washindwe?
aisee ngoja niskujbu tu maana naweza shusha matusi mazto sn ccm ccm nyie watu wa ccm nyie aisee am so sad na taifa hili na watanganyika ila ole wenu ole ole ole ole wenu ccm.
 
aisee ngoja niskujbu tu maana naweza shusha matusi mazto sn ccm ccm nyie watu wa ccm nyie aisee am so sad na taifa hili na watanganyika ila ole wenu ole ole ole ole wenu ccm.
Unadhani matusi ndiyo yatakayoleta mapinduzi ?huo ujinga wa matusi ndiyo umewafikisha hapo
 
Back
Top Bottom