Jimama la KIZUNGU

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Noma tupu unaambiwa mamamanahamisha majeshi from Southampton to Mahenge...duh!

noma tupu...lakini anajua kama huyo mwinyi anaruhusiwa kuoa wake 4?
British teacher moves to a tiny village in Africa - after falling in love with a tribal elder
A British teacher is set to up sticks and move to a tiny village in Africa - after striking up a romance with a tribal elder.

Intrepid Carole Woolgar, 51, will jet off in November to live with partner Amri Shimata in Mahenge, a village in a remote part of Tanzania.

She will swap her comfortable home in Southampton, Hants, for a humble hut with a tin roof and no electricity or running water.
article-0-02F5B74100000578-400_468x327.jpg

Far-flung love: Intrepid Carole Woolgar, 51, will jet off in November to live with partner Amri Shimata in Mahenge, a village in a remote part of Tanzania

Their only toilet is a 'long drop' loo, which is nothing more than a hole in the ground, and all cooking in the village is done on an open fire or a charcoal stove.

Natives from the village have a life expectancy of around 45 but that hasn't put off Carole.

Adult education teacher Carole, who worked at Peter Symonds College, in Winchester, first visited Mahenge five years ago when she travelled to see a friend who was working there.

And she immediately fell for 56 year old Amri, who is a Porgoro tribal elder.

She said: 'Since meeting Amri for the first time I have been back to the village two or three times a year - and our romance just blossomed.

'Over the years I have got involved with various projects in the village and eventually I decided that it was time for a change in life.
article-0-02F5B49200000578-782_468x331.jpg

Mahenge village has a humble existence, with no electricity or running water and a low life expectancy, but it is 'friendly and welcoming'
'The college where I worked was looking to re-structure so it was the perfect opportunity to do something different.

'It had just become harder and harder to say goodbye to Amri when I came to leave so I decided I had to do something.

'I have no kids to worry about so that made the decision easier. I think my parents and my brother will be sad to see me go.'

The village of Mahenge lies in the Ulanga District, in the Morogoro region of Southern Tanzania.

Surrounded by herds of elephants, zebras and giraffes, the village even has its own 'guard' leopard, who sleeps on a rock overlooking the community.

It takes more than two days to drive to the nearest airport, which is in the country's richest city, Dar-Es-Salaam.

The locals speak Swahili and Carole has been taking lessons so she can fit in as best she can.
article-0-02F5B9D500000578-816_468x309.jpg

Together: Carole Woolgar and Amri Shimita are looking forward to a happy existence together

She said: 'The village is tiny but the people are so friendly.

'They have absolutely nothing - you go to a house and people are sleeping on an old mat with a few plastic plates and cups to eat and drink from.

'They get up as soon as it is light, work in the fields and then go to sleep when it gets dark - but they are so so welcoming.

'The thing I'm going to miss the most is my washing machine. The women have to walk to fetch water in buckets and then wash everything by hand.

'The cooking is very primitive too but I think I can cope. If not I'll come back to my washing machine and fully fitted kitchen in my comfortable house in Southampton.

'I have been trying to learn Swahili but luckily Amri speaks very good English - he even beats me at Scrabble when we play. He's a very intelligent man.

'Amri is really looking forward to having me over there.

'I know it is going to be a shock to the system but it's an exciting challenge for me and one I'm really looking forward to.

Carole is flying out to Tanzania at the end of November.
British teacher moves to a tiny village in Africa - after falling in love with a tribal elder | Mail Online
 
Mahenge village has a humble existence, with no electricity or running water and a low life expectancy, but it is 'friendly and welcoming'

Mkuu GT,

Heshima mbele ndugu yangu, sasa hapa hii habari kweli imekaa sawa? Maana Mahenge nijuavyo mimi ni wilaya iliyopo mkoani Mrogoro, ina makao yake makuu mjini Mahenge, mji wa zamani sana uliojenwga na wakoloni,

Hali ya hewa yakule ni sawa na majuu, na pia kunapatikana sana pembe za ndovu na madini mbali mbali, kwa hiyo paliwavutia sana Catholic Mission, ambao ni almost wanamiliki mji huo,

Umeme upo wa Generator, matajiri wenye uwezo ni wengi sana hasa waarabu na wahindi, kuna shule kubwa mbili za Secondari, Kasita Seminary na Kwiro Secondari shule ya boarding baabu kubwa niliposoma mimi mwenyewe mkulu wa Radio station ya FMES kwenye lower level, mjini kuna uwanja wa mpira wa miguu wa wilaya saafi sana ambapo mimi mwenyewe nimeichezea sana timu ya shule yangu, na mchanganyiko ya wilaya,

Kwa kweli mkuu huyu mwandishi amenigusa sana na kuniumiza roho yangu, unless awe anaongelea Mahenge nyingine, maana ninayongelea mimi ni ile ambayo huwezi fika kule mpaka uvuke mto Ruaha, na upande mlima mmoja wa maajabu sana karibu na kufika mjini unaitwa Ndororo, au?

Labda amekosea maana Mahenge ninayoijua ni babu kubwa sana, na ninaweza ku-trade places na huko anytime ili nihamie Mahenge mara moja kutoka nilipo sasa, I mean now!
 
GT Na mimi narejea Tz November. Nitahakikisha nawatembelea wana ndoa hawa.
 
Mkuu GT,

Heshima mbele ndugu yangu, sasa hapa hii habari kweli imekaa sawa? Maana Mahenge nijuavyo mimi ni wilaya iliyopo mkoani Mrogoro, ina makao yake makuu mjini Mahenge, mji wa zamani sana uliojenwga na wakoloni,

Hali ya hewa yakule ni sawa na majuu, na pia kunapatikana sana pembe za ndovu na madini mbali mbali, kwa hiyo paliwavutia sana Catholic Mission, ambao ni almost wanamiliki mji huo,

Umeme upo wa Generator, matajiri wenye uwezo ni wengi sana hasa waarabu na wahindi, kuna shule kubwa mbili za Secondari, Kasita Seminary na Kwiro Secondari shule ya boarding baabu kubwa niliposoma mimi mwenyewe mkulu wa Radio station ya FMES kwenye lower level, mjini kuna uwanja wa mpira wa miguu wa wilaya saafi sana ambapo mimi mwenyewe nimeichezea sana timu ya shule yangu, na mchanganyiko ya wilaya,

Kwa kweli mkuu huyu mwandishi amenigusa sana na kuniumiza roho yangu, unless awe anaongelea Mahenge nyingine, maana ninayongelea mimi ni ile ambayo huwezi fika kule mpaka uvuke mto Ruaha, na upande mlima mmoja wa maajabu sana karibu na kufika mjini unaitwa Ndororo, au?

Labda amekosea maana Mahenge ninayoijua ni babu kubwa sana, na ninaweza ku-trade places na huko anytime ili nihamie Mahenge mara moja kutoka nilipo sasa, I mean now!

Habari haijakaa sawa kabisaaa!!! Naona mwandishi ana-exaggerate mambo ili kuvuta wasomaji....
 
Haishangazi kwani wengi wa hawa watu weupe wana mtizamo potofu sana kuhusu Afrika.Nadhani kuna wenzangu ambao wameshaulizwa maswali ya kishenzi kama "hivi kweli Afrika kuna watu wanaishi kwenye miti."Jibu langu la haraka huwa hata balozi wenu huko Tanzania naye anaishi kwenye mnazi ulio porini.
 
Habari haijakaa sawa kabisaaa!!! Naona mwandishi ana-exaggerate mambo ili kuvuta wasomaji....

Mkuu FMES upo sawa kabisa, ninaifahamu Mahenge ya Morogoro haipo hivyo kabisa. Kwa kuangalia picha inayoonyesha nyumba ni dhahiri kwamba siyo Morogoro. mahenge ya Morogoro hawana nyumba za nyasi zenye mapaa manne, nyumba hizo zinapatikana sana Iringa. huenda jamaa anaongelea Mahenge ya Iringa ambayo ipo kati ya Kitonga na Ruaha Mbuyuni. Mahenge hii (ya Iringa) haina umeme kabisa na ni typical village.
 
Hata Dar kuna sehemu zina nyumba za manyasi! We unashangaa Mahenge Mkuu!!!

Francis uwe unasoma sentensi nzima siyo nusu nusu. Nimesema "nyumba za nyasi zenye mapaa manne" sijua kama unaelewa hapa. Nyumba za nyasi za Morogoro zina mapaa mawili (mgongo wa tembo). Mkuu kumbuka kila kabisa lina nyumba za namna yake. Kwakuwa upo dar es salaam nenda pale makumbusho halafu waombe wakuoneshe nyumba za makabila mbalimbali ili uone tofauti.
 
Mkuu GT,

Heshima mbele ndugu yangu, sasa hapa hii habari kweli imekaa sawa? Maana Mahenge nijuavyo mimi ni wilaya iliyopo mkoani Mrogoro, ina makao yake makuu mjini Mahenge, mji wa zamani sana uliojenwga na wakoloni,

Hali ya hewa yakule ni sawa na majuu, na pia kunapatikana sana pembe za ndovu na madini mbali mbali, kwa hiyo paliwavutia sana Catholic Mission, ambao ni almost wanamiliki mji huo,

Umeme upo wa Generator, matajiri wenye uwezo ni wengi sana hasa waarabu na wahindi, kuna shule kubwa mbili za Secondari, Kasita Seminary na Kwiro Secondari shule ya boarding baabu kubwa niliposoma mimi mwenyewe mkulu wa Radio station ya FMES kwenye lower level, mjini kuna uwanja wa mpira wa miguu wa wilaya saafi sana ambapo mimi mwenyewe nimeichezea sana timu ya shule yangu, na mchanganyiko ya wilaya,

Kwa kweli mkuu huyu mwandishi amenigusa sana na kuniumiza roho yangu, unless awe anaongelea Mahenge nyingine, maana ninayongelea mimi ni ile ambayo huwezi fika kule mpaka uvuke mto Ruaha, na upande mlima mmoja wa maajabu sana karibu na kufika mjini unaitwa Ndororo, au?

Labda amekosea maana Mahenge ninayoijua ni babu kubwa sana, na ninaweza ku-trade places na huko anytime ili nihamie Mahenge mara moja kutoka nilipo sasa, I mean now!

Kwa kweli Mahenge hali ya hewa imetulia sana, kuku wa kienyeji wakubwa ile mbaya...siku za wikiendi pale mjini Mahenge jamaa wanatoka machimbo huchafua hali ya hewa na mapiki piki yao, vurugu bar hawtaki wengine wanunue ulabu hahahah. Kusahihisha kidogo Kabla ya kufika Mahenge wapita Ifakara mjini na kuvuka Mto Kilombero, mto wenye sifa za mamba wengi kuliko samaki. Wenyeji wa mahenge ni wapogoro jamaa wakalimu sana sana...Mahenge kuna upinzani sana kisiasa, CUF na TLP wana nguvu sana na wana viti vya udiwani.
2571221580102668560KUqEsu_th.jpg
[/URL][/IMG]
 
Haishangazi kwani wengi wa hawa watu weupe wana mtizamo potofu sana kuhusu Afrika.Nadhani kuna wenzangu ambao wameshaulizwa maswali ya kishenzi kama "hivi kweli Afrika kuna watu wanaishi kwenye miti."Jibu langu la haraka huwa hata balozi wenu huko Tanzania naye anaishi kwenye mnazi ulio porini.

Mkuu hili jibu lako nimelipenda sana, hata mimi nitaanza kuwajibu hivyo manake huwa wananikera kweli kwa maswali yao ya kupuuzi.
 
Halafu pia mahenge kuna madini --- kwahiyo tujiulize pia je jimama limekuja kwa kujua utajiri wa madini yale ??
 
Mkuu GT,

Heshima mbele ndugu yangu, sasa hapa hii habari kweli imekaa sawa? Maana Mahenge nijuavyo mimi ni wilaya iliyopo mkoani Mrogoro, ina makao yake makuu mjini Mahenge, mji wa zamani sana uliojenwga na wakoloni,

Hali ya hewa yakule ni sawa na majuu, na pia kunapatikana sana pembe za ndovu na madini mbali mbali, kwa hiyo paliwavutia sana Catholic Mission, ambao ni almost wanamiliki mji huo,

Umeme upo wa Generator, matajiri wenye uwezo ni wengi sana hasa waarabu na wahindi, kuna shule kubwa mbili za Secondari, Kasita Seminary na Kwiro Secondari shule ya boarding baabu kubwa niliposoma mimi mwenyewe mkulu wa Radio station ya FMES kwenye lower level, mjini kuna uwanja wa mpira wa miguu wa wilaya saafi sana ambapo mimi mwenyewe nimeichezea sana timu ya shule yangu, na mchanganyiko ya wilaya,

Kwa kweli mkuu huyu mwandishi amenigusa sana na kuniumiza roho yangu, unless awe anaongelea Mahenge nyingine, maana ninayongelea mimi ni ile ambayo huwezi fika kule mpaka uvuke mto Ruaha, na upande mlima mmoja wa maajabu sana karibu na kufika mjini unaitwa Ndororo, au?

Labda amekosea maana Mahenge ninayoijua ni babu kubwa sana, na ninaweza ku-trade places na huko anytime ili nihamie Mahenge mara moja kutoka nilipo sasa, I mean now!
Mahenge ina umeme wa Grid ya taifa,wahindi wapo familia nne, Kwiro bado ipo haina vurugu tena baada ya vurugugu zetu za mwaka 94, waarabu familia tano, uwanja wa mapinduzi umegeuka eneo la malisho ya ngombe, madini yaliisha kitambo, pembe za ndovu zipo,japo si dili sana. karibu tena MAHENGE, TUKUTANE VIGOI,nAWENGE
 
JAMANI,kwetu ni kwetu,lakini kwenye ukweli tusibishe,sasa hatakama kuna umeme,barabara nzuri nk maadam kuna vitu kama choo cha shimo,lazima tukubali vitu kama hivyo ni low of the low hata usifie vipi jamani choo cha shimo utajitetea vipi? mimi naamini humu JF,80% under any curcumstance,ni afadhali wakajisaidie porini kuliko kwenye hivi vyoo
 
Iwe mahenge ya Iringa au ya Morogoro wacha huyo mama aje. Mama mwenyewe kasema kesha kuja mara kadhaa na ameamua kuhamia; sasa habari za vyoo vya mashimo zinakujaje,si tayari alishatumia alipokuja kabla!!!
Hayo ndo malovee.

Ukipenda boga,penda na ua lake kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom