Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

Kukosa maji kwa TZ ni ulafi wa viongozi tu........Kama Dubai jangwani wana maji safi na salama ndio tutashindwa sisi wakati tumezungukwa na maziwa,mito na vyanzo kibao vya maji ardhini?
Mji wa Kigoma ulikosa maji kwa miaka ishirini mbali kuwa ziwa lipo kilimita moja kutoka mjini. Upo mradi unasuasua sasa hivi na haujulikani utaisha lini.
Kupanga ni kuchagua. Waafrika huwa tuna pick priorities zetu vibaya.
 
Mji wa Kigoma ulikosa maji kwa miaka ishirini mbali kuwa ziwa lipo kilimita moja kutoka mjini. Upo mradi unasuasua sasa hivi na haujulikani utaisha lini.
Kupanga ni kuchagua. Waafrika huwa tuna pick priorities zetu vibaya.
Has
Kigoma Maji Tele Yaani Ukifika Bangwe Beach Unayagusa Maji Ila Tatizo Ni Lile Lile
 
Hivi hili tatizo nchi nzima linawakumba au ni Dodoma tu? ningependa kujuwa tu. Tatizo hawa viongozi hawawajibiki wala hawatoi maelezo ya kujitosheleza. Ni kweli hata nchi za kiarabu maji ya mgao hayatoki kila siku ila kwa kuwa wanalijuwa hilo toka mwanzo nyumba zao zinakuwa na tank chini ya ardhi wanachimba maji siku yakiwa zamu yao yanajaza halafu wana pump za kupandisha. kuwa na Tank chini maji hata kama hayana pressure yanajaa, kuna haja ya watu kuanza kufikiria hili japo kuna gharama za kujenga na pump.
 
Mji wa Kigoma ulikosa maji kwa miaka ishirini mbali kuwa ziwa lipo kilimita moja kutoka mjini. Upo mradi unasuasua sasa hivi na haujulikani utaisha lini.
Kupanga ni kuchagua. Waafrika huwa tuna pick priorities zetu vibaya.
Kabisa mkuu ,utakuta waziri wa elimu anaenda na gari la mil 300 kwenda kukagua shule ambayo haina madawati huku akiambatana na convoy yenye magari 10 mi landcrusiser Mkonga kwenye msafara wake.
 
Duu! Hayo ndio majanga ya serikali ya CCM, Mbaya zaidi serikali na wizara zote ziko hapo Dom. Hapo jiulize vipi watu wa kule Kamsamba , Rukwa? Vipi watu wa kule Bangwe Kigoma au Tandahimba?
Alafu bila aibu mtu anakuja anakwambia mitano tena kwa CCM, Huyu lazma ni mgonjwa sio hiviiv!
 
duh!? basi ni changamoto sana mkuu, nlikua na semina last week hapo nkafikia karibu na mjini maeneo yanaitwa kikuyu, changamoto nliyokutana nayo ilikua maji ya chumvi na kupauka.. ila hyo shida nliambiwa ipo sana wilaya ya BAHI. .

wahusika walishughulikie hili.
Dodoma sio mji wa kuishi kwanza unajua Kali kuliko maelezo, maji ni chumvi kiasi hata kupikia chai huwezi kunywa hyo chumvi, Mimi kunishawishi kuishi mji wa vile ngumu na siwezi
 
Mchagueni Lissu atawaletea maji kwani Hilo no hitaji muhimu! Akili za ccm sijui zimekaa upande gani wa miili yao! Miaka 50+ ya utawala wao bado wanashindwa kuwatatulia wananchi kero ya maji! Sasa waliipa dodoma hadhi ya jiji ya Nini ilihali Haina maji? Dodoma morning kura Lissu awaondolee kero ya maji!
kuna kipindi mwezi uliopita yalikatika karibu wiki nzima bila taarifa....ngachoka kabisa
 
Huko iraq na Algeria wakiambiwa wachague kati ya ukosefu wa Maji au ukosefu wa amani watachagua ukosefu wa maji

Amani ndio kila kiti, mengine yanavumilika
Kwahiyo hayo mawili huwa hayakai pamoja?
 
Huko iraq na Algeria wakiambiwa wachague kati ya ukosefu wa Maji au ukosefu wa amani watachagua ukosefu wa maji

Amani ndio kila kiti, mengine yanavumilika
Amani tunayo toka enzi za Mkoloni, tunalipa kodi na tunataka maji sasa
 
Naomba kueleweshwa neno DUMU ( dumu) ktk mada tajwa limetumika likiwa na maana ipi??
 
Kidumu Chama Cha Majambazi CCM. Dodoma kuweni na jambo lenu 28/10/2020.
Wagogo vuguvugu bado, wapeni miaka 20; Mentality ya wale jamaa hata ukikaa nao kuongea ni watu wa kuridhika sana. NI moja wapo ya ngome imara sana ya CCM hata kushinda kanda ya ziwa.
 
Back
Top Bottom