Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

Ukiwauliza sababu DUWASA wanajibu eti kuna ongezeko la watumiaji maji sasa jiulize wakati huu wana vyuo hawapo wakirejea si ndio itakuwa mara moja kila baada ya siku 7
Humo vyuoni ndio shida plus kuna kipindi inafika hadi wiki maji hayaonekani.

Kuna Dogo alipost picha twitter ikionyesha shida ya maji udom alikamatwa akapelekwa central
 
Msemaji Wa Serikali Haraka Atakanusha Hii
Ila Ila Haa 😁😂🤣
 
Humo vyuoni ndio shida plus kuna kipindi inafika hadi wiki maji hayaonekani.

Kuna Dogo alipost picha twitter ikionyesha shida ya maji udom alikamatwa akapelekwa central
Dodoma ujinga ni mwingi sana na unachangiwa na ccm.

Njia ya city center hadi chang'ombe ni mabango ya ccm yamesambaa kwenye madirisha ya watu hadi milangoni mwao na hakuna anayethubutu hata kuchana.

Hapo kumbuka maji wanayapata kwa kulenga kwa manati, usafiri saa mbili tu magari yanaanza kulala na vitu ni bei ghali sanaa.
 
Hao wakazi wa huko (wagogo) wengi hawajielewi wacha wanyweshwe hata mavi hakuna shidaa!!
 
duh!? basi ni changamoto sana mkuu, nlikua na semina last week hapo nkafikia karibu na mjini maeneo yanaitwa kikuyu, changamoto nliyokutana nayo ilikua maji ya chumvi na kupauka.. ila hyo shida nliambiwa ipo sana wilaya ya BAHI. .

wahusika walishughulikie hili.
Jaribu kwenda mpwapwa+ kongwa afu utaleta mrejesho maji ya kule hayafai
 
Dodoma mamburura ni wengi, hili tatizo la mgawo wa maji linaenda almost mwezi wa pili sasa na hakuna anayelisemea wala kukenua yapoyapo mamtu ya dodoma
Dodoma Kwa Hatua Ya Jiji Haina Hadhi Hiyo
Labda Kwenye Siasa, Ila Ukweli Ilitakiwa Iwe Hata Wilaya
Mambo Mengi Sana Bado
 
Si o chamwino ikulu peke yake mkuu hata hata Dom mjini tabu tupu kama huku maeneo ya nzuguni Leo Siku 6 Sikh yakitoka ujue saa 8 au 9 usiku tena hayana pressure baada ya hapo yanafungwa kuja kutoka tena baada ya siku 6 au 7 ukimpigia meneja wa duwasa anaanza kujibu kwa makeke mwisho atakwambia nunua simtank hata Mimi nyumbani kwangu ninayo sita yaani anakera na ukicheki injinia wa maji anaitwa Mayunga ana majibu ya hovyo wakati mwingine anakutukania hata mama basi ilimradi ni majuto tu .
 
Huko iraq na Algeria wakiambiwa wachague kati ya ukosefu wa Maji au ukosefu wa amani watachagua ukosefu wa maji

Amani ndio kila kiti, mengine yanavumilika

Na bado jiwe atapewa kura kwa kisingizio eti maji hamna kwa sababu za ukame ila nchi kama Iraq,saudia na Algeria hawalii shida ya maji kama hapa
 
Back
Top Bottom