Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

Huo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
 
Nilienda wizara ya afya mwezi wa 6 nilikaa kule siku 3 dah maji hamna vyooni yaani nikajiuliza sana ofisi kubwa kukosa maji.
Dodoma nmekaa sana pale! Kwakweli maisha ya pale sio rafiki, Maji kwanza ya shida na yana chumvi ile mbaya, kupausha nguo au kupauka wakati umetoka kuoga ni swala la kawaida tu..
........Dodoma bado sana maendeleo ya kijamii afu ndio makao makuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October

IMG_7346.JPG
 
Hilo la daladala ni kweli,dalaldala zinajaza watu mpaka mlangoni na haziondoki mpaka watake wao na abiria kimya.
Dodoma panafaa ukiwa na fedha kwa sababu kwa sasa maisha yake ni ghali.

Kwa kazi zetu sisi tunabwia maji ya bombani bila hata kuyachemsha ila sasa hivi kuyapata ni kipengele, inabidi tununue ya litre 12 kwa 4500.

Usafiri wa Dodoma ni kinyaa kama huna gari na unahitaji kukimbizana na hela sikushauri uje maana hutapata daladala watu wanajaa na bado limepaki kama wanaenda mkoa vile wako kimyaaa
 
Huyo dogo jamaa angu aliyepo dodoma anasema mpaka leo hajaonekana ndugu zake wameambiwa alipotea akiwa field Singida wakati kipindi hiko hakikua kipindi cha field.
Humo vyuoni ndio shida plus kuna kipindi inafika hadi wiki maji hayaonekani.

Kuna Dogo alipost picha twitter ikionyesha shida ya maji udom alikamatwa akapelekwa central
 
Inaelezwa jiji la Dodoma linakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji uliopelekea dumu kuuzwa kwa bei ya Tsh 1000 katika mji mkuu huo wa Tanzania

Chanzo: Gazeti la mwananchi kupitia Facebook page yao



Tukutane kwenye comment

Mtanzania Umepata pesa kidogo tu unaanza kushangaa Ndoo ya Maji kuuzwa Elfu Moja!
 
Back
Top Bottom