Zilikuwepo zishaharibika, who cares? Nakumbuka mwaka 2017 ziliwekwa za solar barabara ya kwenda Bugando na ile ya kutoka Pasiansi kwenda Nyasaka, sijui kama bado zinawaka.
Acha uongo, mie nakaa igoma taa zipo zinawaka, kukiwa gizo hilo ni tatizo la tanesco na sio taaWewe usidanganye watu. Barabara ya Kutoka mjini kwenda Igoma ni giza tupu. Aidha katikati ya Jiji ni giza totolo, wewe unakaa Mwanza ipi ? Kawadanganye wasioijua Mwanza.
Mkuu si uwashe za gari yako ili uepukane na giza totoroNani kakuambia kama sina gari ? Hiyo mitaa niliyoitaja kote huko napita na gari hakuna taa.
Kutoka mataa ya nyerere road-sekou toure- Isamilo(mji mwema) mpaka Kilimahewa big bite barabara ina taa za barabarani za sola. Nadhan ni kwa baadhi ya maeneo na sio Mwanza yote ni giza.
Nazungumzia uzoefu na hata leo nimepita njia hiyo nikirejea nyumbani.
Kwa hiyi kilimahewa ndio katikati ya Jiji ?
Zinawaka ila sio zoteZilikuwepo zishaharibika, who cares? Nakumbuka mwaka 2017 ziliwekwa za solar barabara ya kwenda Bugando na ile ya kutoka Pasiansi kwenda Nyasaka, sijui kama bado zinawaka.
Acheni propaganda zilizokufa wakuu, barabara ya kutoka sabasaba kwenda hadi Buswelu ni ya lami na inawaka taa mwanzo mwisho, barabara ya kutokea Pasiansi kwenda hadi Nyakato Buzuruga kupitia Kiloleli Nyasaka maduka 9, Nyasaka center kote huko taa zinawaka, barabara yote kutokea mjini kati kuelekea Igoma taa zinawaka, sasa wewe mleta unaongelea Mwanza ya wapi
Zilikuwepo zishaharibika, who cares? Nakumbuka mwaka 2017 ziliwekwa za solar barabara ya kwenda Bugando na ile ya kutoka Pasiansi kwenda Nyasaka, sijui kama bado zinawaka.
Mbona taa za solar zipoNlicheka sanaa kusikiliz sera za mabula igoma hapo anasema tukimpa kura atawasha taa za barabaran kwa kuziunganisha na solar,kwel nlimshangaa sanaa kwan amekaa miaka mitano hakuweza kufanya ivo ila ss iv anaomba ridhaa kuziwasha,kwel wabunge wa ccm n mzigo